Kwani mamlaka inayohusika kupanga mechi Gani ichezwe lini ni YANGA SC au Tff? Suala la Yanga kuwahonga Tff ili kulazimisha mechi ya Yanga vs Namungo una uhakika nalo au ndiyo tunatumia uhuru wa kuongea vibaya?!!!
Kwa mujibu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr J P Magufuli, hofu ni ugonjwa hatari zaidi kuliko hata virusi vya Corona! Ndiyo, unapokuwa na hofu kunakosekana umakini na ujasiri hali inayopelekea watu kukata tamaa. Tunapokata tamaa maana yake ni kuwa umuhimu wa kuchukua tahadhari...
Hao wanaolalama hawana jipya maana tumezoea kuwaona siku zote wakilalamika hata kwa mazuri yanayofanyika. Tujifunze kushukuru kwa mazuri yafanywayo na siyo kila jambo ni kupinga tu
Mwanasheria mkuu wa Chadema na mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni Tundu Lissu yupo nje ya nchi tangu alipopigwa risasi katika jaribio la kuuwawa. Baada ya kupata matibabu nchini Ubelgiji, hivi sasa anaendelea na ziara zake katika nchi za Ulaya na Amerika. Akiwa katika nchi hizo amekuwa akitoa...
Mtamaliza maneno yote kuhusu wanaohama kutoka Chadema kwenda CCM. Ukweli nu kuwa Chadema imepoteza mwelekeo na kwamba watanzania sasa wameanza kulifahamu hilo. Hakuna jipya tena kwa Chadema na kwamba kwa wale wafuasi wa chama hicho mtayaongea mengi ya kujifariji!!!!
Hakuna jipya hapo, mnapoteza muda wenu bure kusifu vitu ambavyo havina faida kwa upande wako. Uchaguzi unafanyika katika jimbo lingine, wewe unashadadia as if wewe ndiye mgombea wa chama fulani. Badala ya kufanya kazi ujiongezee kipato unatumia muda wako mwingi kusifu mambo yasiyokusaidia
Kila kukicha kwenye vyombo vya habari ni taarifa za mgogoro uliokikumba chama cha siasa cha wananchi CUF. Mgogoro huu unasababishwa kwa kiasi kikubwa na uroho wa madaraka ingawa kwa upande mwingine ni ushawishi kutoka kwenye vyama vingine. Kwa mwenendo huu hii na dalili tosha ya kupotea kama si...
Huo ni uhuru wa kutoa mawazo na ndiyo maana kila mmoja ana nafasi ya kueleza kile anachokifahamu. Wewe waumiaje kuhusu hilo? Bila shaka wewe ni mmoja kati ya wahanga wa jambo hili na ndiyo maana limekugusa kiasi umeshindwa kuvumilia na kutoa maneno kama ya mtu mlevi aliyelewa na kushindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.