Ukubwa 24×23 Mita
Haijapimwa,majirani wote wamepima
Ni kuunga vipimo tu..
Bei ni milioni 20 mazungumzo.kidogo
Pande zote zimejengwa.
Ni mita 200 kutoka kwenye minara inapoishia lami,kiwanja cha pili kutoka barabarani.
UKIWA MUHITAJI WA KWELI,njoo PM nikupe namba ya mmiliki.
Salamu wadau,
Pasaka haikuwa nzuri eneo nililolitaja na Tanesco wako kimya!tunavuja jasho na pilau ya sikukuu inaoza kwenye friji.
Hivi tatizo lolote lililopo limeshindwa kutatuliwa?na Tanesco muko kimya kwa masaa 24?na tunaelekea kwenye masaa 48 sasa,nini shida?
Wadau salamu sana,
Kwa mazoea kawe beach ni sehemu maarufu kwa uchomaji wa samaki jijini,mbali na ukweli kuwa zipo sehemu nyingine kama Meeda sinza,Safari carnivor ambapo mchomaji maarufu wa kawe siku za nyuma alihamia hapo.
Siku za nyuma pia maeneo ya chabg'ombe ilikuwepo bar maarufu FIRST AND...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.