Hana kazi ya maana ya kufanya,analipwa zake laki 7 na kwao ndo anaitwa tajiri,kwahiyo ukimwambia chini ya milioni tano ni masikini anakuona kama unamuonea wivu tu
Ukisikia mgambo wanaruka na kukanyagana ndo huku sasa,mara wealth is infinity,mara milioni tano ni pesa nyingi ya utajiri? Mzee tukueleweje? Halafu muda huohuo unatuasa vijana tuamke tutafute hela,hela gani sasa kama milioni 3 kwako ni utajiri?
Hakuna sehemu mtoa mada kasema yeye ni tajiri au kutaja kipato chake,ila kaandika anachoona yeye ni sawa haijalishi yeye anavyo au hana,shida yetu wabongo wengi ni masikini sana na tunapenda maneno ya faraja,mtu akituchana ukweli tu tunapaniki na lazima tumshambulie
Kwani hela za mishahara alikuwa anatunza tu hatumii? Usicheze na bilioni mzee,wanasiasa wengi hata M200 tu benki ni mtihani,bilionea msuya mwenyewe na utajiri na uwekezaji wake wote alikufa akaacha milioni 850 tu benki,sembuse mbunge tena wa upinzani?
Na kumbuka kadri unavyolipwa vizuri ndo...
Habari yako mkuu,
Samahani nami naomba kuuliza,vipi kwa mimi nayetaka kununua bidhaa (amazon) marekani? Swala la courier ni yupi yuko vizuri? Au hata wao wanafikisha kwa ile shipping yao?
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.