Google inatamka wazi Peters alikuwa mtoto wa mchungaji wa kiluteri.Alipopelekwa Kilimanjaro ni kweli aliua sana akina mangi na kuna jamaa lilingia bomani likachakata mmoja wa mademu zake,Dk alimnyonga jamaa hadharani.Alimnyonga pia mmoja wa mademu zake aliyemhisi kuwa spy.
Carl Peters aliondolewa kwenye utawala wa Afrika Mashariki ya ujeruman 1888 baada ya vita vya Abushir.Alipelekwa Zanzibar na akapewa kazi ya kuweka mpaka kati ya GEA na BEA,baadaye alisababisha maafa kule Kilimnjro wajeruman wakaja kuchapwa na mangi Meli.Ikabidi arudishwe kwao alipata kashfa...
Hata ukristo ulianzia Zanzibar,enzi hizo mamlaka pekee iliyokuwa rasmi inatambulika kwa wakubwa wa Ulayana hata America ilikuwa ni usultan wa Zanzibar na Oman na baada ya 1856 ni usultan wa Zanzibar.Kila akiyetaka kuingia mriama lazima apite Zanzibar.Unapewa ruksa,ulinzi na wasaidizi ndo...
Sultan wa Oman na Zanzibar alikuwa Seyyid Said alifariki 1856 na himaya yake ikagawqnyika mwanae mmoja Majid akarithi ZanZibar na Afrika mashariki.Mwingine Thuwain akarithi Oman.Kuanzia hapo wakawa maadui.Sultan Majid alirithiwa na Barghash na huyo ndo alikutana Karl Peters.
Chief
Chief analaumiwa bure tu,wakati ulikiwa umefika hakukuwa na namna Hata Meneliki ii aliyekomaa na kudindda 1935 Ethiopia alikaliwa na Mussolini hadi 1941.Na leo wote tunaburuzwa na wazungu..There was nothing else Mangungo shuold have done.
Waliopaza sauti na kuhanikiza ,Asurubiwe,asurubiwe ni wale waliokuwa wanafaidika na mfumo wa utawala uliokuwepo wakati ule.Wengine ni wale machawa na wasiojitambua.Hizi ni sherehe zenu nyie mnaokula matunda ya mifumo yenu.Sherekeeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.