Nauza simu aina ya LG 6 plus, simu imetumika miezi minne tu. Ina ram gb 4, storage gb 128, kila kitu kasoro ear phone tu. Bei 500,000. Nitafute kwa simu no. 0684085052
Nauza nguo za kike na kiume aina zote. Tunauza tsherts, mikanda, wallets, mashati, gauni, suruali n.k
Waweza fika dukani k/koo mtaa wa manyema mkabala na jengo la ddc, uone ni jinsi gani kupendeza kumerasishwa.
Pia kwa wateja wasio weza fika dukani kwetu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao...
Samani wakuu, naitaji past papers za mitihani ya Moko kuanzia mwaka 2005 mpaka 2018 za olevel, nimeambiwa zinamaswali mazuri ya kujipima. Tafadhari mwenye kujua namna yoyote ya kuzipata msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.