Sio kweli ndg juzuu sio kitabu cha mfunzo.ni kitabu cha Qur'an juzuu ya.kwanza juzuu Amaa hadi ya 30 inaitwa Libakara maana yake sura ya Ng'ombe na au Alif laam.
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Juzuu ni kitabu cha Qur'an katika vile vitabu 30 (juzuu 30) na kwa hapa dar juzuu moja 100_300 inategemea unataka vingapi na unanunulia mitaa gani.
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Huyu ndg sijawahi ona anajibu hoja, inawezekana inaongelewa mvua yeye atakuja kuchangia jambo la corona dah hatari sana. Ndio maana tunafail zaidi kwenye mambo yetu kama nchi maana team ya Lumumba inayotuongoza baadhi yao hawajielewi maskini [emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo halipo ndugu katika uislam ni uzushi tu, hiyo kumpa taarifa ni ubinaadam tu kwa hiyo akubali akatae kuoa utaoa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazimu kuridhia na wala haina hata ulazima wa kumpa taarifa mke wa kwanza. Unaweza kuoa tu, kukataa mke mkubwa kuolewa uke wenza ni kuiharifu Quran.... Allah kaelekeza oeni wawili na kuendelea, ukishindwa oa mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Story yako mzr lkn chai nyingi kama wavuvi kuvua pweza kwa mshipi mmh!...ngisi ndio wanavuliwa kwa mtego ambao una fungwa mshipi huo mtego ni picha ya samaki wa plastic [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Ngende ipo mkoa wa Lindi wilaya ya liwale tarafa ya nanjilinji kata ya mpigamiti, haya maelezo yako futa usije ukamtoa ndg yetu kwenye kusudio lake, maana umetaja hapa karibu tu nyangao, ngende ni mbali huna uwezo wa kutoka leo dar ukafika lkn hapo mkwela ukipita mtama unaingia mkwela...
Mkuu mbona zile nyama zinagaiwa kwa jumuia za kiislam tu, na hapewi kila mtu isipo kuwa yule maskini kwa sababu ni sadaka hata huko wanako chinjwa wanachinjwa kwa minajiri ya sadaka na sio tambiko au kafara Kama asemavyo mtoa mada, ktk Surat YUSUPH Mungu kusema tufuate mila za nabii Ibrahim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.