Search results

  1. Mo-TOWN

    Serikali (NIDA) imefeli vibaya mno suala la vitambulisho vya taifa; kusubiri zaidi ya mwaka, vitambulisho vinapotea haviwafikii walengwa!

    NADHANI NI WAKATI MHESHIMIWA RAISI AINGILIE KATI.......HAWA WATU WA NIDA NI PASUA KICHWA..... SASA WANADAI MTAMBO UMEKUFA HII NI WIKI YA NNE WANASHINDWA NA HATA KUWAKWAMISHA UHAMIAJI KUFANYA KAZI KWA WATEJA KUKOSA NAMBA ZA VITAMBULISHO VYA URAIA.......MHESHIMIWA RAIS TUSAIDIE HAWA WATU WA...
  2. Mo-TOWN

    Mtu mmoja ajinyonga nyuma ya jengo la bodi ya korosho mkoani Mtwara. RPC akanusha tukio kuhusiana na korosho

    Una uwezo wa kujua alipokosea ila huna uwezo wa kusahihisha....kazi kweli kweli. Nakukumbusha tu kwamba .... Kuna shule ya vitabu na shule ile ambayo ni real life
  3. Mo-TOWN

    Kichere :Meneja wa TRA atakayefunga Biashara ya Mfanyabiashara Kukiona

    KUNA VITU VITATU KAMISHINA KICHERE UNAPASWA KUVIANGALIA LIKELY DAILY...... 1. WATU WAKO TRA WANAJUA BIASHARA WANAZOZITOZA KODI...WANAZIJUA BIASHARA KAMA BIASHARA AU WANAJUA TU KUKOKOTOA MAHESABU YA KODI. Hili Halikwepeki. Ni lazima uwe na waru wanaojua biashara zinaendeshwaje. Sio watu...
  4. Mo-TOWN

    Majibu ya kiburi ya Katibu Mkuu Wizara ya Elimu kwa mwandshii wa habari; Viongozi wengi hawajui umuhimu wa media kufikisha habari kwa wananchi

    Angalizo watu wasidhani kuwa Katibu mkuu mtu atakuwa na uelewa wa anachofanya/simamia....arogance alioonesha ilikuwa makusudi kwa lengo la kuficha level yake ya weledi.
  5. Mo-TOWN

    DC Richard Kasesera apinga Clouds Media kuanzisha shindano la DC bora

    Nadhani wewe ndio kichekesho....bila shaka uwezo wa kufikiri ndio ulipofikia. Hivi zile tuzo za marais bora afrika (Ibrahim MO) umeshawahi kuzikia??
  6. Mo-TOWN

    DC Richard Kasesera apinga Clouds Media kuanzisha shindano la DC bora

    Sidhani kama unamaanisha kuwa rais anapowatumbua watu huwa hatumii vigezo.
  7. Mo-TOWN

    Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

    Tatizo kubwa ni kwamba mtoa mada hafahamu kwamba hakuna uhusiano wowote kati ya biadhara na elimu (formal). Hakuna period. Kwa hoja husika ni mufilisi.
  8. Mo-TOWN

    DC Richard Kasesera apinga Clouds Media kuanzisha shindano la DC bora

    Wajua hizi nchi zetu unafiki unatuponza sana kutoka kwa viongozi mpaka wanaongozwa......kajifunze maana ya public figure. Kuna RC #1 wa Simiyu abaitwa Mtaka. Huyo Mh anafahamika kwa utendaji wake na anaowaongoza period. Eti MaDC hawataki kuwa ranked in public kama wachapa kazi au eti iwe siri ya...
  9. Mo-TOWN

    DC Richard Kasesera apinga Clouds Media kuanzisha shindano la DC bora

    MADC wanaofanya vizuri wapo, vigezo vipo...kama kuna hoja ya msingi DC Kasesera angeshauri vitumike vigezo vya TAMISEMI sio kusitisha. Eti aliowateu ndio anajua.....nikumbushe tu aliowateu pia anapata feedback kutoka kwa wananchi wanaosimamiwa na hao ma DC.
  10. Mo-TOWN

    Je, Mwalimu au Mtumishi yeyote wa Serikali anahitaji ruhusa ya Mwajiri kusafiri nje ya nchi akiwa likizo?

    Inashauriwa kuwa na serikali ndogo yenye kufanya kazi kwa weledi na tija.....haya yote ni kutokana na ukubwa wa serikali. Watu wanafanya kazi kinafiki/rushwa kwa sana ili kumchafulia JPM.
  11. Mo-TOWN

    Ni aibu msomi kufanya biashara ambayo hata asiyesoma anaweza kufanya

    Sijuii ni kwanini umejiweka kundi la wasomi. Kama ungekuwa kundi la wasomi ungejua elimu inakusaidia kutawala mazingira yako. Ikiwa ni pamojabna kujua fursa zilizopo mtaani for that matter.
  12. Mo-TOWN

    Ili uchumi ukue, tukubali Rais aongezewe muda hata miaka 20 Ili amalizie miradi yake yote

    Simple....ni kubadlisha katiba period. Unaweza weka ukomo au la.
  13. Mo-TOWN

    Hii kero ya matrafiki Arusha imezidi

    Kwa kweli ni kero tupu. Usumbufu wa makusudi wakati kwa teknologia ya sasa unapashwa na ni zaidi rahisi kujua gari zilizolipiwa zilizoko barabarani, zinazodaiwa leseni zilizokwisha muda wake, gari ambazo hazijakaguliwa nk. Kuna misuse ya resource kwa kwa hali ya juu tu. Kodi kwa maana ya...
  14. Mo-TOWN

    Mapato VS Matumizi ya Serikali

    Kwa kweli juhudi zinafanyika nyingi sana ambazo kwa ujumla malengo yake ni kuogeza pato la serikali na hatimaye kuwekeza sehemu ya mapato hayo ktk utoaji huduma za kijamii husani public goods (miundombinu, afya, elimu nk). Nia ni njema ingawaje njia za kuhakikisha mapato ya serikali...
  15. Mo-TOWN

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    HAPA KAZI TU......IKIBIDI ZIFUTWE TU....ILA NIMEOTA NDOTO YA KUTISHA KWAMBA KUNA SIKU KUTAKUWA NA KODI YA KODI YA REDIO, KODI YA TV....KODI YA.....MAENEO.....NK
  16. Mo-TOWN

    Polepole awaonya wote wanaomtukana Rais Magufuli kwa kisingizio cha kukosoa

    Maandiko yanasema tiini mamlaka....rais ni mamlaka period.
  17. Mo-TOWN

    Ardhi na Maji zaondolewa TAMISEMI na kupelekwa Wizara za kisekta

    Nakubaliana na maoni yako.
Back
Top Bottom