Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo March 25 2017 amemteua Charles Edward Kichere kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Kabla ya Uteuzi huo Charles Edward Kichere alikuwa Naibu Kamishna Mkuu wa TRA. Charles Edward Kichere anachukua nafasi ya...
Kwako Onesmo Mpinzile Nikupe pole kwani umeamua kutumika kama Kondomu au Karatasi ya Chooni na Waajiri wako hivi Ulivyositiriwa na Law Associates wakati ule ukiwa na vimeo vyakutosha pale Law School baada yakuvimaliza ukaenda kwa wanaokutumia? pole sana ndugu ila kumbuka tumbo liliponza tako.
Katika kile kinachoonekana muendelezo wa Mawakili kutetea tasnia yao ya Sheria Wakili Lau Kego Masha amemtaka Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumshauri Rais vyema kuhusu maswala mazima ya sheria na kuitaka serikali kutoingilia mchakato wa uchaguzi wa Chama Cha Wanasheria...
Iko hivi ujanja ujanja wa kuweka mapandikizi TLS upo hadharani baada ya incumbent kumdhibiti na Past Presidents walio pewa nafasi kama asante kwa kufuata maagizo wakiwa katika nyadhifa zao sasa mnaona ile loop hole inazibwa mnahangaika hakuna jipya siasa zenu nyepesi fanyeni huko wanaojitambua...
Are you an Advocate ? If the above question is answered in affirmative then attend the Annual General Meeting of TLS scheduled to take place in Arusha on 17th and 18th March 2017 and vote for you favorite candidate.
Mtazamo wangu uchunguzi wa kina ungalifanyika kabla ya kukamatwa mtuhumiwa yawezekana kabisa huyu bwana alikuwa anafanya maigizo sasa unaposhughulikia maigizo kunakuwa na tatizo vilevile tujiulize kama ninayoyafikiria ndivyo yalivyo kwa maana ya maigizo badala ya kutatua tatizo unakua umeongeza...
Acha mawazo mepesi Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikua msomi aliyebobea PHD holder alipenda salutation ya Mwalimu hakuwa arrogant kujiita Daktari kama walivyo wengi leo hii hata kama ni honorary PHD !!!
Chadema as an Institute failed !!! There was a better means to deal with this issue !! The way they have dealt with this issue made them "too small" !!!!
Siasa za vyama zimepitwa na wakati wajameni mpo dunia ya ngapi!? Pamoja na Mtikila kuwatetea hadi mahakama ya haki za binadamu Afrika! Siasa za vyama zilikuwa enzi hizo mgombea binafsi haikuwa inaruhusiwa! Watanganyika tunapenda kuishi uzamani!!!
Prof Otiso amefanya kile ambacho wasomi wetu wengi hawataki kukifanya. Waweza kujiita mtanzania ilihali historia ya nchi yako hauijui vilivyo hivyo basi wanaojifanya kuijua historia ya Tanzania simply because of their citizenship with due respect to them that is narrow thinking!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.