Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, ameagiza kuchunguzwa na kuchukuliwa hatua mtu anayedaiwa kutapeli ardhi kwa kutumia cheo cha mwenyekiti Serikali ya mtaa.
Mtu huyo anadaiwa pia kuwa mchungaji wa kanisa la kipentekoste, Nyakasangwe Kata ya Wazo, ametajwa kuwa ni Peter Mibilale...
Hakuna huduma ya msingi inayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani (UBT) ila unapotaka kujisaidia 'answer the call of nature' uchochoroni ndipo utakapo kumbana na adha ya polisi jamii wakiomba rushwa kwa uchafuzi wa mazingira.
Hii ni sawa kweli kukusanya mia mbilimbili and yet...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.