Some comments here are disgusting to read!If you don't want to read local newspapers you can go to hell.No wonder ninyi ndio mliokuwa mnafaidika na mfumo wa ovyo wa utawala uliopita.Mlikuwa hamkai maofisini,kila siku safari zisizo na tija yoyote na kuongeza nyumba ndogo mitaani.Heshima...
Nakuunga mkono Mkuu.Kila MTU sasa aishi kwa kipato halali.Kuna vijana hapa mtaani kwetu walikuwa na vi-deals vya kuwatolea makontena watu pale bandarini kwa ujanjaujanja.Kila jioni utawakuta na Heineken au Windhoek.Huwezi amino sasa hivi hawaonekani.Tumebaki sisi wapiga Kili tena na zenyewe...
Tambueni jambo moja watanzania.Rais wetu hata siku moja hafagilii watu wanaojipendekeza kwake na kumsifu au kumfagilia.He is a man of his own character.
Jamani Mimi nimesomea ungwini lakini kwa hili angalau nina ka-idea kidogo.Hapa tunazungumzia gharama unayotozwa unapofanya miamala ya kibenki,mfano unatoa Pesa kwenye ATM ile service charge inayotozwa na bank husika ndiyo ambayo serikali itatoza 18% VAT.Mfano,Kama ukitoa Sh 10,00,000 unakatwa...
Ndugu wanabodi,hivi ili mtu aonekane amefanikiwa ktk maisha anatakiwa awe ana vitu gani au awe anamiliki mali zipi au awe amekamilisha mambo gani ktk umri gani?
Kila siku tuna-discourage serikali kukimbilia maeneo ya kodi yanayobebesha mwananchi wa kawaida mzigo.Sisemi makampuni ya simu yakwepe kodi,la hasha.Hoja yangu ni kuwa tuweke viwango vya kodi vya kodi ambavyo havitamuumiza mwananchi wa kawaida kwasababu mwisho wa siku telephone operators...
Mkuu,hebu nielimishe.Kuna claims kuwa Paye hukatwa baada ya kuondoa makato ya michango ya pension.Yaani kiwango kinachokokotolewa kodi ni kile kinachobaki baada ya deduction ya mchango wa pension kufanyika.Is there any truth in this?
Hao ndo wale waliokuwa wamezoea kuishi kwa kupiga deal,kila siku safari,seminars,workshop n.k.Kaja JPM mnalalama.Sisi wenzenu huku private sector tulishajizoelea kuishi kwa mishahara.Ni kweli kabisa mzunguko wa hela unapokuwa mdogo tunaathirika wote lakini tujifunze kuishi kwa mapato yetu...
Tume ya Katiba,nakuunga mkono kwa hoja hii.Watu wameshangilia sana utadhani wameokota kipande cha dhahabu.Ukweli ni kwamba kama una idea ya hesabu za magazijuto hilo punguzo ni meaningless kwa watu wa madaraja fulani (Threshold).
Umenikumbusha enzi hizo nachunga ng'ombe na mbuzi miaka ile ulipotumia neno PONGO.Kule kwetu Pongo maana yake ni Dume la Mbuzi au Beberu japo inawezekana hapa ulipolitumia halina maana hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.