Wanaofuatilia Brexit, House of Commons is in session

UK itakula kwao na huu msimamo wao.

Scotland nao watataka wajimege toka UK.
 
Tunakoelekea UK itasambaratika, visiwa vitagawana mbao na malkia bakie na Great Britain.
Je uhai wa Jumuiya ya Madola utaendelea kuwepo?
 
Tunakoelekea UK itasambaratika, visiwa vitagawana mbao na malkia bakie na Great Britain.
Je uhai wa Jumuiya ya Madola utaendelea kuwepo?
Hivi Great Britain na United Kingdom vinautofauti? Au ndo maisha ya baada ya kupata elimu ya Voda fasta
 
Ila Jana nilifurahia sana jinsi walivyokuwa wanajenga hoja na kuvumiliana hata pale walipotofautiana hupati shida kumuangalia spika na waziri mkuu au kiongozi wa upinzani kifupi nilijifunza vema sana
 
Ila Jana nilifurahia sana jinsi walivyokuwa wanajenga hoja na kuvumiliana hata pale walipotofautiana hupati shida kumuangalia spika na waziri mkuu au kiongozi wa upinzani kifupi nilijifunza vema sana
Thats how a liberal democracy works asilimia kubwa ya wanasiasa matokeo awajayafurahia lakini kila wakiponda hoja zilizotabiliwa na waziri mkuu kabla ya kupiga kura kwamba tutapoteza abc yeye mwenyewe anazizima kazi yake yeye kwa sasa ni kuunganisha nchi sio kulazimisha perspective zao ata kama anaziunga mkono.

These people are well advanced kwakweli in responsible politics, social cohesion ndio agenda iliyo mbele yake ingawa anajua ana support ya kuweza kulazimisha marudio ya kura ya maoni petition ikifika laki moja bunge linauwezo wa kujadili hoja na watu millioni mbili wametaka marudio ya kura ya maoni, bado ana support ya wanasiasa wakiamua kutotimiza matakwa ya wananchi wanasiasa wa pande zote mbili largely wangeweza leta vurugu za kubaki EU bungeni.

Mwisho wa siku kwa mzungu kanuni ni kanuni uwezi kuzivunja au kusafiria upepo wawashabiki kila pande ina washabiki; sio maalim Seif mmbishi kama nini akubali kushindwa yule mzee mara amlaumu Jecha, aimize fujo kha.

Kwa wenzetu the worst has happened the next chapter ni kuweka timu ya wataalamu waliobobea in negotiation kuhakikisha ata kama wanatoka wanabakiza mambo yenye faida kwao as much as possible bila ya kuathiri nchi yao PM mwenyewe anasema yeye atakama atokuwa PM lakini atabaki kwenye timu ya kupigania maslahi ya taifa; Mbowe angesusa.
 
Thats how a liberal democracy works asilimia kubwa ya wanasiasa matokeo awajayafurahia lakini kila wakiponda hoja zilizotabiliwa na waziri mkuu kabla ya kupiga kura kwamba tutapoteza abc yeye mwenyewe anazizima kazi yake yeye kwa sasa ni kuunganisha nchi sio kulazimisha perspective zao ata kama anaziunga mkono.

These people are well advanced kwakweli in responsible politics, social cohesion ndio agenda iliyo mbele yake ingawa anajua ana support ya kuweza kulazimisha marudio ya kura ya maoni petition ikifika laki moja bunge linauwezo wa kujadili hoja na watu millioni mbili wametaka marudio ya kura ya maoni, bado ana support ya wanasiasa wakiamua kutotimiza matakwa ya wananchi wanasiasa wa pande zote mbili largely wangeweza leta vurugu za kubaki EU bungeni.

Mwisho wa siku kwa mzungu kanuni ni kanuni uwezi kuzivunja au kusafiria upepo wawashabiki kila pande ina washabiki; sio maalim Seif mmbishi kama nini akubali kushindwa yule mzee mara amlaumu Jecha, aimize fujo kha.

Kwa wenzetu the worst has happened the next chapter ni kuweka timu ya wataalamu waliobobea in negotiation kuhakikisha ata kama wanatoka wanabakiza mambo yenye faida kwao as much as possible bila ya kuathiri nchi yao PM mwenyewe anasema yeye atakama atokuwa PM lakini atabaki kwenye timu ya kupigania maslahi ya taifa; Mbowe angesusa.
Mkuu unachanganya na kautz ndani#yote kwa yote mi nilipenda walivyokuwa wazi na kila mtu kusema kile anachoamini na alipewa uhuru wa kuzungumza angalau Brussels wenyewe nimeona wamepanic na kuzomeana Leo asubuhi ila bado speaker alikuwa wise sana
 
Mkuu yote kwa yote mi nilipenda walivyokuwa wazi na kila mtu kusema kile anachoamini na alipewa uhuru wa kuzungumza angalau Brussels wenyewe nimeona wamepanic na kuzomeana Leo asubuhi ila bado speaker alikuwa wise sana
Mkuu ndio maana kuna leaders and followers; ata mataifa ni hivyo hivyo. The first reaction ya baadhi ya viongozi wa EU ilikuwa UK kutoka haraka wasilete fujo.

Kilichofuata over the wknd Angela Markel akaongea na David Cameron and on Monday akawaita viongozi wa Spain and France to discuss the matter (this are the other big players in the union) by the end of the day announcement ya Merkel ni kwamba UK wapewe muda wakujipanga and as long as they wish.

Kwanini UK brings one of the largest economy in the union and with tradings of over 1tr pounds in the EU that is no mean feat kama kuna maslahi wanataka yabaki lazima uwasikilize hao wengine wenye makelele kwanza social services zao zilikuwa zinategemea hela kutoka UK, biashara zao and expatriates wa UK, inaongeza GDP ya EU, ina mchango mkubwa wa ulinzi, advanced in intelligence na mbinu.

Kwa mtu kama Markel mwenye akili zake timamu awezi kuwa swayed na viongozi wengine wapuuzi wasioweza fikiria impact ya kujitoa kwa UK considering its not the will of many politicians. Ndio maana anataka a sensible approach and pretty much she is the leader kwenye EU in terms of direction yeye akisema wengine wanafuata.
 
Mkuu ndio maana kuna leaders and followers; ata mataifa ni hivyo hivyo. The first reaction ya baadhi ya viongozi wa EU ilikuwa UK kutoka haraka wasilete fujo.

Kilichofuata over the wknd Angela Markel akaongea na David Cameron and on Monday akawaita viongozi wa Spain and France to discuss the matter (this are the other big players in the union) by the end of the day announcement ya Merkel ni kwamba UK wapewe muda wakujipanga and as long as they wish.

Kwanini UK brings one of the largest economy in the union and trading of over 1tr in the EU that is no mean feat kama kuna maslahi wanataka yabaki lazima uwasikilize hao wengine wenye makelele kwanza social services zao zilikuwa zinategemea hela kutoka UK, biashara zao and expatriates wa UK, inaongeza GDP ya EU, ina mchango mkubwa wa ulinzi, advanced in intelligence na mbinu.

Kwa mtu kama Markel mwenye akili zake timamu awezi kuwa swayed na viongozi wengine wapuuzi wasioweza fikiria impact ya kujitoa kwa UK considering its not the will of many politicians. Ndio maana anataka a sensible approach and pretty she is the leader kwenye EU in terms of direction yeye akisema wengine wanafuata.
Ni kweli kabisa yule mama anajua kuvuta pumzi na hana mihemko kifupi Brussels ilikuwa haitaki UK aondoke lakini ilidhani hata ondoka na matokeo yake kaondoka(mzarau mwiba)
Ila sasa ukirejea hapa nyumbani mkuu naona kama unayajua haya mambo kwa kiasi ni lini au nini kifanyike ila nasi tufike hatua ambayo sauti ya wananchi itasikilizwa
Tutakuwa na watu ambao wana akili zilizo huru kujadili mstakabali wa taifa bila kujali itikadi za vyama vyao mfano ukiwa pale kwa malikia
 
UK wanajuta kwa kitendo cha hiyo kura ya ku exit. Imeonesha total failure kwa uongozi wa Cameron. Ilikuwa ni poker face na ka loose.

Hapo utaoni nchi nyingi za EU zinataka UK atoke mazima EU, manake UK ana delay kuweka article 50 ya Lisbon treaty 2007 ku finalize kuchomoka. Treaty iwape hiyo miaka 2 ya free trade and movement then after hapo UK washike njia yao wenyewe.

EU wanategemea Germany kama mshirika mkubwa wa UK ndio aseme. Msimamo wa French na Germany ni kwamba, kama UK amesha vote kutoka, atoke mapema ili asizuie utekelezaji wa project za EU.

Kuendelea kubaki EU kutafanya nchi zingine zitoke ndio maana wanamuharakisha aondoke.

Cameron yupo kwenye kiti hadi September 2, na hana mpango wa ku invoke hiyo article 50, pia mrithi wake borriss nae kasema hataiweka hiyo article mapema hadi wajiridhishe wako kwenye safe side ya bargain ndio watoke.

In short Britain wame loose, naona sasa hadi kiingereza wanatKa kukiondoa kama official language ya EU.
 
Ni kweli kabisa yule mama anajua kuvuta pumzi na hana mihemko kifupi Brussels ilikuwa haitaki UK aondoke lakini ilidhani hata ondoka na matokeo yake kaondoka(mzarau mwiba)
Ila sasa ukirejea hapa nyumbani mkuu naona kama unayajua haya mambo kwa kiasi ni lini au nini kifanyike ila nasi tufike hatua ambayo sauti ya wananchi itasikilizwa
Tutakuwa na watu ambao wana akili zilizo huru kujadili mstakabali wa taifa bila kujali itikadi za vyama vyao mfano ukiwa pale kwa malikia
Hiyo paragraph ya mwisho ndio kila kitu kwenye siasa za uingereza until recently the leadership philosophy kwa waingereza ilikuwa asilimia kubwa ya wananchi awawezi kuwa na maamuzi sahihi kwa hivyo political parties vinachagua the people with reasonable minds and the best minds to be in politics.

Na hawa wanafanya siasa kwa uelewa wa kuwa kuna namna nyingi za kuweza kushawishi watu lakini kama sehemu ya national interest hakuna siasa za kupiga chini ya mkanda (kutoka kwenye main parties yaani; labour, conservative and liberal) ie, hakuna kutafuta support kidini (nyumba za ibada au kwenye mikutano yake), kushawishi watu kwa sababu ya rangi, jinsia or any other social discrimination factor inayoweza kugawa watu.

Kazi yao wao kama wanasiasa ni ni ku accumulate social needs and wants na kushindana kwa nadharia bungeni pamoja na kutoa elimu kwa ku simplify argument kwa raia wengi wasioweza elewa impact ya hayo maamuzi au nadharia za siasa. Ndio maana unaona media nyingi sana pana wakati zilimshambulia Boris Johnson alivyofananisha uongozi wa EU na uongozi wa NAZI siasa hizo azikubaliki kwa hivyo media pia inawajibu wa kuwakumbusha wanasiasa.

Sisi tuko wapi kwakeli sijui national interest ziko wapi ata zile ambazo sio siri, sijui serikari inalenga nini kiuchumi maana sera azieleweki, atajui marafiki zetu akina nani na kwa kweli kisiasa wanasiasa wengi wanapwaya na kama ntakuwa mkweli asilimia kubwa ya wanasiasa ni watu ovyo tangia mwalimu atoke and the bar is ever lowering.

Kwa hali kama hii sijui tunaachana vipi salama wakati wanasiasa awana national interest, vijana awajakomaa wengi awajui kipi wapinge kipi wa support especially wa upinzani maana hawa wanatakiwa kuwa bora kushinda wa CCM (ambao kwa sasa imejaza viongozi wa ovyo).

Kama lengo la kuwa na ushawishi wa kulazimisha balanced decision alijafanikiwa kwenye siasa pamoja na kuwafanya chama tawala kuanza kufikiria kuwa na timu ya viongozi makini wake kesho. Binafsi katika mazingia haya nipo happy CCM kushinda kwa namna yoyote ile it is more of a safe bet kuliko ubora wao jumlisha na uahkika wa mustakabali wa umoja wa wanachi wake kuliko kuweka zimwi usililolijua kabisa .

Wanasiasa gani hawa upinzani wanaokimbilia nje kulazmisha nchi iwe na mgogoro, wanashinikiza watu kuaribi uchumi, siasa zao awajui mipaka ilipo na kina nani tusiwatumie huu sio upinzani bali fujo tu kwa asilimia kubwa washindwe tu. In short bado tunahitaji kutengeneza wanasiasa kabla ya kulazimishana kueshimu matokeo ya uchaguzi (thats my perspective).
 
OK ila huwa naona kama serikali nayo Mara nyingi inatoa nafasi kwa wapinzani kuongea kwa mfano utaangalia serikali hii ilipoingia madarakani imeibua mambo mazito sana ambayo pia wapinzani walikuwa wanayapigia kelele na ya jk pia iliibua mambo mazito sana ambayo wapinzani walikuwa wanayapigia kelele
Sasa kwanini serikali isiwafunge kabisa mdomo Hawa wapinzani kwa kutoa elimu bora huduma bora za afya miundombunu mizuri kuzuia rushwa na kuimarisha demokrasia mi naamini wakifanya hivyo kwa ukamilifu hapatakuwa na kelele za mbowe na co.
 
OK ila huwa naona kama serikali nayo Mara nyingi inatoa nafasi kwa wapinzani kuongea kwa mfano utaangalia serikali hii ilipoingia madarakani imeibua mambo mazito sana ambayo pia wapinzani walikuwa wanayapigia kelele na ya jk pia iliibua mambo mazito sana ambayo wapinzani walikuwa wanayapigia kelele
Sasa kwanini serikali isiwafunge kabisa mdomo Hawa wapinzani kwa kutoa elimu bora huduma bora za afya miundombunu mizuri kuzuia rushwa na kuimarisha demokrasia mi naamini wakifanya hivyo kwa ukamilifu hapatakuwa na kelele za mbowe na co.
Kelele za Mbowe na Co mimi sizipingi kabisa kama lengo ni kuponda sera kwa mtazamo wa mipango yao, kupigania demokrasia pale inapotaka kubakwa na mambo yote ya msingi yanayoleta balance au kuiweka serikari accountable. Na siungi mkono siasa za kuwazuia wengine kufanya siasa za kutoa elimu kwanza ndio hiyo kazi yao kusema eti wanakuzuia kufanya mambo yako hiyo sio hoja ya demokrasia au kumpa mwanasiasa uhalali wa kuzuia mikutano ya wengine.

Tatizo langu ni tone ya upinzani kama nilivyokwambia sisi kama jamii bado sana ao waingereza leo kushindwa kwa kura ya maoni wanamlaumu Jeremy Corbyn kushinda David Cameron. Kwanini upande wake wa wafuasi wake asilimia kubwa wamepiga kura ya inn. Tatizo ni labour hawa walitakiwa kufanya kazi ya ziada maana wapiga kura wengi wanahitaji extra attention wengi wana low education, wengi ndio wanaodhani wageni wanachukua kazi zao, wengi ndio wanaishi na wahamiaji etc. Kwa hivyo kama kiongozi wa labour Jeremy Corbyn alitakiwa atumie nguvu nyingi sana kutoa somo ilii kufuta hofu ya jamii ya kuwa hakuna madhara hayo kama wanavyofikiria muhimu kutoka kwake yeye anaweza aminiwa kushinda Cameron na wapiga kura wa labour.

Kwa uelewa huo ndio maana wanasiasa wa chama chake pia wanataka atoke, kwa sababu waziri mkuu mpya akiingia madarakani wanajua aufiki mwaka watakuwa washalazimisha uchaguzi mkuu hivyo na wao wanataka kiongozi anaeweza ongea na wananchi kuna majimbo ambayo yana marginal sits hayana mwenyewe ni sera tu za chama hivyo kiongozi lazima ujue kuongea lugha sahihi za ushawishi wa kisiasa.

Upinzani wetu wao mara nyingi wanapoongea na wananchi ni kuchochea tu kama sio polisi wabaya basi susieni hiki, msiwe na imani na chombo hiki, fulani mkataeni, mara watumie uhamsho sijui Gwajima and all the nonsese hizi ndio kelele za ushawishi nazopingana nazo lakini sisemi wawe kimya kutopinga nadharia za serikari kama kujadili budget au ku challenge bunge live, au kususa kwao pale naibu spika alipozuia kujadiliwa watoto wa chuo walipofukuzwa bila ya utaratibu sahihi haya ni maswali legit ya siasa.

Lakini aina maana ukitoka hapo na wewe ukaimize fujo hapo sasa unaweza kuona kwanini wasivyo tayari awawezi kuja na mbinu sahihi za kubalance maamuzi bila ya kutaka aina fulani ya fujo kwanza in other words awana ushawishi wa siasa zisizo piga chini ya mkanda ata pale kweli wanapokuwa wana sababu za msingi; hawafai bado.

Siku njema ngoja nifanye kazi kidogo.
 
Back
Top Bottom