Ongezea NGOs na taasis za kimataifa wanaleta volontia baada ya muda wanawabadikisha kuwa staff na mishahara minono kwa kazi zilizo classified kama za wazawa. Maeneo hayo serikali hayayajui...yamejaa ufisadi wa kutisha. Wachunguze watabaini.
Huyu Kapuya anangoja nini kujisalimisha kwa pilato?
Makosa aliyo nayo ni mengi mno.... baadhi:
1. Kubaka kinyume na sheria ya kanuni ya adhabu - Jela muda usiopungua MIAKA 30
2. Kuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi - Jela
3. Kutishia kuua - Jela miaka kadhaa
4. Kutumia madaraka vibaya -...
You kidding?
Majaji wengi wanalalamikiwa na upo ushahidi kabisa siyo kwa kesi hizi tu bali hata kesi zingine.
Usiangalie tukio moja bali chunguza mienendo yao hao "majaji watuhumiwa" kuanzia walipoanza kazi - toka uhakimu ( Upendo Msuya) au uwakili ( Jaji Fauz) utapata jumuisho.
Tanzania...
Swadaktaa!!
Hii tabia imezaa maDHARA makubwa kwa maana matamanio haya yamemekomaa hadi kuwaathiri wanaume wenyewe.
Wanaume wanatamani wanawake wote - walioolewa na walio singo.Inapotokea unatamani mwanamke aliyeolewa mwenye mume mtata... pata picha.
Ukizoea kula vya wenzio na vyako vitaliwa hata...
Asanteee
naomba niongeze kitu kimoja.....hizi ndoa hadi zikaitwa ndoana au pingu... siyo bahati mbaya.
Kuishi na mtu ni kazi kubwa.Binadamu tumeumbwa na hali ya kukinai, kuchoka, kutoridhika. Viwango vya uvumilivu kwa wengi ni vidogo. Kilichobaki ni kukubali kuishi kwa matumaini na imani zaidi...
Kua uyaone .
Unene ni sifa kwa mwafrika.
Inatokana na hali halisi kwamba umaskini uliokithiri unafanya watu kushindwa kumudu
hatab mlo mmoja kamili na hivyo kuwa vigumu kunenepa.Katizame vijijini watu walivyopandisha kenchi!
Mijini ( mara nyingi)ndiko utakutana na wanene, ikiwa ni kipimo cha...
mnajidanganya tu.
hao wengi wako tofauti? Munakuja kulalamika kila siku apa ati wanawake wanawapasua vichwa.
ZAFANANA..TABIA NA KILA KITU..VARIATIONS NI KIDOGO TU.
L akufanya, jiulize tatizo liko wapi katika uhusiano wako na mkeo kisha tafuta ufumbuzi.Utarukaruka wee utaishia na UKIMWI.
Halafu aiasee kuna kale katabia kakutapanya maji chini..unakuta mtu kajitawadha na kumwaga maji chepechepe vyoo vya kukaa. Si uweke choo cha kuchuchumaa basi? khaaa!
IVO EHHH?
MHH unanifanya niangalie tena application kibao nilizozitia kapuni... kama utazama nyumba ndogo basi
nami nisuuze roho yangu!
uko tayari kuwa mgombea mwenza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.