Mtoto wa mkulima hakufanya vibaya kuchangia, namkubali kutoa mfano na kila mtu akifanya ivyo tutafika, tatizo hatuna moyo wa kuchangia tunafikiria serikali inaweza kutatua kila kitu. Namkumbuka mzee mwenzangu Ronald Reagan alipowaambia serikali si suluhisho la matatizo bali serikali inaongeza...
Tatizo letu watanzania tuna kasumba sana ya kufikiria elimu ndo njia pekee ya mbunge kuchangia hoja. Hao wenye darasa la nne wanaweza kutoa mawazo mazuri kuliko hata wenye ph.d. Nakumbuka John Major hakkuwa na shahada ila alikua mmoja wa mawaziri wakuu bora Uingereza, au George Washington hakuwa...
Which is better strategy, bottom up, or top down? Angeanzia na wizara na wawe mfano kwa Halmashauri, ila kama halmashauri zitatolewa kafara wakati matumizi wizarani ni yaleyale au yanaongezeka, basi ili zoezi halina maana. Mtoto wa mkulima aanze na kichwa amalizie mkia. Nyoka anaktwa mkia kwanza...
If we adhere to the rule of the law, we should be totally subject to the law of the land, more important the constitution. The constitution is clear that anybody who has been born in Tanzania will be a natural citizen of Tanzania. Jenerali Ulimwengu was declared not a citizen because one of his...
Tatizo letu watanzania kusifiana na kupongezana ila tukiulizana huyu magufuli kafanya nini hatuna majibu. Tuache upumbavu Magufuli hana lolote kama kazi ni kupiga kelele Mrema nagekua rais leo
Mtu pekee anayetakiwa kumeza lawama zote ni rafiki wangu wa zamani Maalim Seif sharif Hamad. Aliwatoa mhanga hao wote ili baadae awe makamu wa Rais, aibu tupu na tamaa ya madaraka, Seif damu ipo juu yako. Walijitoa mhanga wakijua wanatetea demokrasia kumbe walikua wanajitoa mhanga ili uwe makamu...
If English language is obstacle to you, then use whatever language is understood by a majority of your readers. I detest people who use language that they are not comfortable with and as a result they do not convey the right message to their target readers
Limbukeni mkubwa, hata kama angekuwa na elimu ya darasa la nne lakini akaweza kuongoza vizuri ni bora kuliko elimu ya chuo na Ph.d alafu uongozi unakushinda. John Major alikuwa waziri mkuu bora Uingereza na alikua na elimu ya sekondari tuu. Bill Gates hakumaliza shule na ameiongoza Microsoft...
Is this English language? or perhaps a direct translation from Swahili to English? Anyway I cannot critique it much, but I think it is better to use a language which you are comfortable with, a plain English which a native speaker of English can understand is better than a broken English which...
Alienda kumalizia degree Wartburg College, kila siku alikua mtu wa kusafiri, ndo maana akamaliza na low GPA. Alianzisha mradi wake wa Summer camp akatapeli watu kibao.
I know the right of the accused person, he has fundamental right under the constitution, presumption of innocence. "No body is guilty until he is proved guilty" not "guilty till proved innocent" If I was jurror in this case I would find Jerry Muro guilty as charged because prosecution has proved...
Hii makala imejaa makosa ya kiufundi sana, kwanza huyu mwandishi ametoa hoja nyingi na kuziunganisha huku akitoa mfano mdogo kuhalalisha hoja yake. Anaposema watu wanalazimishwa kulipa kwa dola au pesa ya kitanzania inayolingana na dola ni upuuzi mtupu kwani hali halisi ya biashara ndio ilivyo...
Isije ikawa Pinda anatumia tuu hii hoja kutengeneza njia ya 2015. Kama amekaa kwani lazima atangaze kwa vyombo vya habari? Na ye kama mdhibiti mkuu ana madaraka ya kukataa magari yote yanayonunuliwa na serikali, aache usanii
\\
Mr. Willy inaonyesha hujui maana ya Katiba. Katiba ipo kuonyesha muonekano wa serikali, madaraka ya serikali na mihimili yake. Suala la magari ya Bunge au wizara hayapo kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano. Ila nakubaliana nawe kuwa masuala ya magari ya wabunge yapo kwenye kanuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.