Kama kawaida yangu, mimi ni mjasiriamali, na biashara yangu ni kuuza chocho au kusaidia kuuza chochote ili mradi mnunuzi na mnunuaji wanaridhika na maslahi ya hiyo biashara.
Katika pilika zangu za weekend, nilikutana na mabwana fulani ktk mgahawa mmoja maarufu hapa New zealand. Ktk mazungumzo yetu wao walijitambulisha kwangu, wao ni mawakala wa Tajiri mmoja anaeitwa LORD CARRINGTON na shughuli zao kubwa ni kununua raslimali popote zilipo duniani.
Niliwaambia mimi natoka Tanzania, wakasema wanaijua vizuri sana na kila kitu kilichopo na tena wakanifahamisha kuwa siyo Tanzania tu, wanaijua Africa yote na vilivyomo. Mimi nikawauliza, Je kwa Tanzanian wao wanataka kununu nini?. Wao wakaniambia, Kama itawezekana wangependa kuuziwa mikoa mitatu ya Tanzania bara, TANGA, KILIMANJARO NA ARUSHA.
Kwanza nilionyesha mshangao fulani, kwa kuwa tangu nianze kufanya biashara sijawahi kuulizwa biashara kama hii,. Nikawauliza watanunuaje? wakasema wao wana uwezo wa kuilipa serikali pesa za kutosha kuendesha bajeti ya Tanzania kwa 100% kwa kipindi cha miaka 15.Na wao wataichukua hiyo mikoa na kuimiliki kwa miaka 100
Mimi kwangu niliona ni biashara nzuri, lakini wasi wasi wangu ikawa ni kujua kama watanunua je ina maana raia wanaoishi ktk mikoa hiyo watafukuzwa au itakuwa namna gani?
Wao wakanijibu, kila raia atabaki kuwa ni mmiliki wa mali zake kwa 100% Ila wao watakachofanya ni kuunda serikali yao mpya ktk mikoa hiyo,na kuwekeza ktk mikoa hiyo na kuwasaidia mitaji ya kuwekeza raia wanaoishi ktk mikoa hiyo ili waweze kukusanya vizuri mapato yao.
La mwisho waliloniambia ni kuhusu sheria za uhamiaji, Kwamba ni lazima kwa mtu au taifa lolote watalazimika kuwa na VIZA za kuingi ktk mikoa hiyo, na pia baada ya miaka 100 watairudisha mikoa hiyo mikononi mwa serikali ya Tanzania
Mimi kabla ya kuwajibu ikabidi niwaombe muda kidogo ili niwasiliane na wadau na tujadili kama kuna faida au hasara halafu mtaliwakilisha kwa JK na serikali yake nao waone kama linafaa. LAKINI KWA UPANDE WANGU NIMEKUBALIANA NAO KWA 100% MAANA KWA KIPINDI CHA MIAKA 15 HATUTAKUWA TENA OMBA OMBA KWA WAZUNGU, NA ISITOSHE KUMBE NI KAMA WANAKODI TU HIYO MIKOA NA SIYO KUINUNUA KABISA.
MWISHO NAOMBA WANA JF TULIJADILI HILI KIBIASHARA ZAIDI NA SIYO KISIASA
Katika pilika zangu za weekend, nilikutana na mabwana fulani ktk mgahawa mmoja maarufu hapa New zealand. Ktk mazungumzo yetu wao walijitambulisha kwangu, wao ni mawakala wa Tajiri mmoja anaeitwa LORD CARRINGTON na shughuli zao kubwa ni kununua raslimali popote zilipo duniani.
Niliwaambia mimi natoka Tanzania, wakasema wanaijua vizuri sana na kila kitu kilichopo na tena wakanifahamisha kuwa siyo Tanzania tu, wanaijua Africa yote na vilivyomo. Mimi nikawauliza, Je kwa Tanzanian wao wanataka kununu nini?. Wao wakaniambia, Kama itawezekana wangependa kuuziwa mikoa mitatu ya Tanzania bara, TANGA, KILIMANJARO NA ARUSHA.
Kwanza nilionyesha mshangao fulani, kwa kuwa tangu nianze kufanya biashara sijawahi kuulizwa biashara kama hii,. Nikawauliza watanunuaje? wakasema wao wana uwezo wa kuilipa serikali pesa za kutosha kuendesha bajeti ya Tanzania kwa 100% kwa kipindi cha miaka 15.Na wao wataichukua hiyo mikoa na kuimiliki kwa miaka 100
Mimi kwangu niliona ni biashara nzuri, lakini wasi wasi wangu ikawa ni kujua kama watanunua je ina maana raia wanaoishi ktk mikoa hiyo watafukuzwa au itakuwa namna gani?
Wao wakanijibu, kila raia atabaki kuwa ni mmiliki wa mali zake kwa 100% Ila wao watakachofanya ni kuunda serikali yao mpya ktk mikoa hiyo,na kuwekeza ktk mikoa hiyo na kuwasaidia mitaji ya kuwekeza raia wanaoishi ktk mikoa hiyo ili waweze kukusanya vizuri mapato yao.
La mwisho waliloniambia ni kuhusu sheria za uhamiaji, Kwamba ni lazima kwa mtu au taifa lolote watalazimika kuwa na VIZA za kuingi ktk mikoa hiyo, na pia baada ya miaka 100 watairudisha mikoa hiyo mikononi mwa serikali ya Tanzania
Mimi kabla ya kuwajibu ikabidi niwaombe muda kidogo ili niwasiliane na wadau na tujadili kama kuna faida au hasara halafu mtaliwakilisha kwa JK na serikali yake nao waone kama linafaa. LAKINI KWA UPANDE WANGU NIMEKUBALIANA NAO KWA 100% MAANA KWA KIPINDI CHA MIAKA 15 HATUTAKUWA TENA OMBA OMBA KWA WAZUNGU, NA ISITOSHE KUMBE NI KAMA WANAKODI TU HIYO MIKOA NA SIYO KUINUNUA KABISA.
MWISHO NAOMBA WANA JF TULIJADILI HILI KIBIASHARA ZAIDI NA SIYO KISIASA