Search results

  1. F

    Ntatangaza Nia Mapema Machi 2015 - Dkt. John Pombe MAGUFULI

    atakuwa rais na nyumba hazirudi, kwan tumenunua kihalali kama watumish wa serikali na kama unaona alifanya makosa mbona mpaka leo hujaenda mahakamani? serikali imeamua kuuza nyumba zake tena kwa watumishi wake wew unawashwa na nin? au ndo la mkosaj? lete hoja acha vioja! kwan wew ulishawah...
  2. F

    Mama mkwe ananikonyeza

    ulijuaje kama anakukonyeza kama hukuwa interested? kwann umuabishe mama mzaa chema? lazma utakuwa na matatzo au utoto unakusumbua.
  3. F

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    unawezapata ukitulia na kuzngatia vgezo vyako,
  4. F

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    umepata nn ndgu? au umepotea njia?
  5. F

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    mm binafs ntaleta mrejesho
  6. F

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    ni kweli asante mdau. nataka awe na umri kuanzia 26 mapaka 33
  7. F

    kwa mwanamke aliyemaanisha kuingia kwenye ndoa.

    Hbr za kupeluz wana jf! Najtokeza kwa mara ya kwanza ktk jukwaa hili nikitafuta mwanamke wa kumuoa. nina miaka 33, nina diploma ya marketing, muajiriwa, mkrito,mtulivu, mcha Mungu. Sifa za mwanamke nimtakae, mcha Mungu, mwenye mapenz ya dhati, mkristo, elimu yyte. kwa mwenye nia ya dhat anipm plz.
  8. F

    Dodoma: Askari Polisi auliwa na raia

    tatzo raia wanajichukulia sheria mkononi na polisi wanaingilia kaz ya mahakama, kwahyo wote n wakosaj kisheria. tafakarini chukue hatua... hakka hakuna damu itakayomwagika iwe ya raia au polisi ambayo haitalia ardhini.
  9. F

    Sakata la mahakama ya kadhi, CCM ilaumiwe

    mbona mzuka umekupanda kulikon au nawew ndo walewale walaghai wa waislam?
  10. F

    Ukweli usiojulikana wa kujiuzulu kwa Lowassa

    kama Lowasa hakuhusika moja kwa moja na kashfa ya richmond atuambie hadharan ninan aliyehusika, naamin kwakuwa yeye ndiye aliyekuwa waziri mkuu lazima atakuwa anamfahamu, aache kumung'unya maneno atutajie muhusika. mwambie nafasi ya urais inahtaj mtu jasiri mwenye kuthubutu, kama akishndwa...
  11. F

    Ajali ya basi la Budget mlima Kitonga

    pole kwa majeruhi wote.
  12. F

    Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

    utapata weeengi mpaka ushndwe kuamua yup n yup, hata mm nakuja pm.
  13. F

    Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

    iko hv......!
Back
Top Bottom