Habari ya Jumapili wana jukwaa...
Anahitajika binti kwa ajili ya kusimamia stationery iliyopo Dar es salaam, maeneo ya Riverside. Anayeweza kazi hizo ani PM
siku kadhaa zimepita tangu nisafiri kutokea Arusha kuelekea Dar es salaam kwa gari nililoamini ni First Class likihakikishiwa na gharama zake za Tsh 33,000....Lakini huduma niliyoiona ni tofauti na matarajio yangu...Gari haikuwa na AC na ilikuwa ni mateso kwa abiria wengi...nilijaribu kuhoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.