Rediculous! Shule za makanisa wanaweka ada nafuu kuliko shule nyengine za binafsi. Umeangalia ada za shule kama vile Feza?? Anayetakiwa kusimamia sera ya elimu ni nani? Mbona hakuna usimamizi kwenye hizi shule za binafsi na za mskanisa zikiwemo. Kwangu mimi shule zilizo chini ya makanisa ada...
Hata mimi ninaziita za kipumbavu na hapa ndipo serikali yetu ilipotufikisha. Labda niulize, Lizaboni unaweza kumuacha mwanao asome shule ya kata kama una uwezo wa kumsomesha shule mbadala? Let's face reality, public schools are laughing stock these days. Tulishaambiwa tusiingize siasa kwenye...
I happen to meet the guy, he is straight and understand that the party is not about a person but rather an institution. Tulikubaliana kwamba taasisi ilijengwa zaidi ya miaka 22 haiwezi kutetereka sababu ya watu wachache. CDM wana nguvu ni suala la kupata watu makini mkoani na si wafanya...
Sidhani kama ni mlafi wa madaraka. Huyu ana msimamo wa kimaisha (kwa hali ya Kigoma) hivyo hawezi kutumika. Ana biashara zake na maisha standard wakati wakina Kasisiko wanafanya biashara ya siasa. Mnyonge mnyongeni ila apewe haki yake. Misimamo yake nadhani ndio inawapa shida kwani ana uhakika...
Bob G, sidhani kama uliyosema ni ya kweli. Kama Yesu alimtibu mtu siku ya sabato kwanini wao washindwe kufanya mitihani siku ya sabato? Wakati mwingine sielewi kama wanafunzi wa siku hizi waelewa umuhimu wa kilichowapeleka shule, tena mwanachuo!! Wana yao tu hawa
Wanajamvi heshima kwenu, najitokeza kilingeni kuwaomba tujadili kuhusuwanataaluma pamoja na taasisi tajwa juu.
Prof. Mukandala ametajwa sehemu nyingi kama brain behind MPANGOWA UTAFITI NA ELIMU YA DEMOKRASIA TANZANIA REDET ambayo pia ilihusishwana harakati za Raisi wetu ndugu Kikwete kuingia...
Mkuu usihangaike na ndugu Mzizi. Kwenye mambo ya biashara unaposafirisha mzigo lazima kuwe na mkataba. Moja ya mambo ya msingi ni certificate of origin, bill of lading ambayo huonyesha aina ya mzigo ulioingizwa kwenye chombo na thamani yake, cheti cha uchunguzi na kadhalika. Sasa swali ni kwamba...
Unamaanisha mambo ya Stalin?...quote 'those who cast votes decide nothing. Those who count the votes decide everything'. Haya ya vyama vya ukomunisti kawaida sana hivyo hatuwezi kumind kwa chaguzi zenu za ndani ila kwenye chaguzi za njee ndio tunashangaa. Hatupendcommunism
It was just a ploy by govt. Sasa hapa unaweza weka nadharia nyingi ikiwemo uwezo wa kutumia jumbe za uchochezi na anonymous wakati wa uchaguzi 2010 na mambo kama hayo..
Kweli? Naamanisha unaamini ulichokiandika!!? Unausemea moyo wa Nape.. He was talking at that Misenyi public rally for the sake of talking maana kama anaamini angekanusha ile kashfa ya kuanzisha chama ndani ya chama...and plse don't compare him to mwl kwani ni muktadha tofauti. I can bet my last...
we sss ina maana president anawapa muda wajirekebishe eeh!!? Very myopic! Mtu umekula kiapo ukishika koran tukufu kuilinda na kuitetea katiba halafu uachie jinai hv hv? Kweli! Kuna 'ombw
Msimlaumu jmk bali walaumuni viongozi wenu wa dini. Sijawahi kuckia bishops/imams& ulamaa have invited political leaders and let them have podiums esp in secular states like tz! This tendency which started in pre independency has grown and will bring chaos. Have u heard us presdents/ english pm...
huyu kada bado anakumbuka enzi ya jeshi kuwa sehemu ya chama na si chombo cha uma. Most of them were supposed to be part of political system b4 being commissioned ndio 7bu ya kuogopa kuwapa wasomi dot com vyeo
yeah tumemsikia akitumia kodi ze2 kujibu shutma huku akijinasibu kwamba watz wataona ni kinanani watakuwanachakuonyesha mwishoni! Cheap politiks! Nani asiyejua kwamba ccm ndiyo yenye govt na ndiyo wanaokusanya kodi ze2. We need accountability& not mere words. Btw, one way communication bore a...
nachelea kusema kwamba 'tunakiuka haki ya msingi ya kila raia kuishi na kufanya kazi popote ndani yg jmt'. Mama chatanda ana haki ya kufanya kazi yake ya ukatibu ccm as long as his paympaster is satisfied. Tusianze kubaguana. Kama magamba ya a-town hawaridhiki, wana vikao vyao wapeleke huko...
Mbopo. Nami nimeiona taarifa ya utetezi wa lukuvi ya dk 45. Dr naye ni memba atatupa 'his side of story' lkn unanishangaza kwa kutokuona mgongano wa kimaslahi ktk jambo hili. Hivi kwa suala la uwajibikaji wa baraza la mawaziri na utendaji wa uoga wa makatibu na wakurugenzi kuna waziri anaweza...
nasitika sana kwamba watz tumefikishwa hapo na kikundi cha wa2 wachache wasiozidi elfu 2! Naililia tz ye2. Guys with increasing corruption &economic hardiship coupled with high unemployment rate changanya na ahadi za kufikirika za bw mbayuwayu, hakuna salama nawaapia!
Ili kuuonyesha uma kwamba viongozi wakuu ktk cdm wanatumiwa bac ccm iwafukuze rachel et al and then wawapeleke mahakamani, period! Kama mwl alitishia kurudisha kadi kama jina la mzee wa mvumi halitatoka kwanini jmk et al washindwe kuwavua gamba maswahiba wao?! Ukiona wametajwa na hawatui courts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.