Ila ndoto kweli naamini ni kitu hatari sana!!!!!
HIVI ZITTO HUYUHUYU AMBAYE ALIPIGWA BAN NA MWANAMKE TULIA ACKSON...NA AKASHINDWA KUFANYA LOLOTE...LEO HII UTHUBUTU HUO WA KUMUONDOA RAIS AMEUPATA WAPI???????
Unajua hiyo maana yake nini???? ALISHAGUNDUA UPINZAN UNATAKA MANENO MATAMUMATAMU KAMA...
Twaweza wanafahamika...findings zao ukiingia kwny net unazipata..hata kama hukubaliani nazo but they are there to stay! !!!
SWALI NI KWAMBA...NI KAMPUNI GANI YA WAZUNGUNGU IKIYOWAAMINISHA CHAGADEMA KUWA HUYO FISADI ANA 18% ZAIDI? ??? FINDINGS ZAO ZIKOJE BA TUNAZIPATA WAPI?????
Kwa taarifa yako...
Nilipoona umemtaja Mwl nyerere nikawa na hamu ya kusoma ili kujua...MAKONGORO ALIPATA LAANA GANI ALIPOGOMBEA ARUSHA KUPITIA UPINZANI KINYUME NA MATAKWA YA BABA YAKE!!!!!!!
Lkn sishangai..ninyi kula matapishi yenu ni kawaida...ni sehemu ya maisha...Maana muda ule mlisema MAKONGORO ni mtu mzima...
Sasa angekuwa ni mbunge wa CCM hapo ndo ungeona mtiririko wa thread jinsi ungekwenda
Hadi sasa kurasa zaidi ya 20 zingekuwa zimefika...matusi juu ya utu na nafsi ingekuwa balaa
Hapo wa upande uleeeee wanaupita hivi........Aibu hiyo
Nawaza kwa sauti tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mkubwa!!!! Shida inakuja hapa....Mtu anadai data za kupinga hoja iliyotolewa WAKATI YEYE HAKUTOA DATA ZA KUTHIBITISHA NA PIA SOURCE YA TAARIFA YAKE MTOA MADA!!!!! Nilitegemea aseme kuwa amecopy na kupaste kutoka kwa ZITTO (ambaye kimsingi kwa Chama chetu huwa HAAMINIKI..NI YUDA)
LKN PIA BAADA YA...
Afadhali Nimemuona mbunge wangu Mnyika AMEJITOKEZA CHINI YA MASAA 24 BAADA YA TANGAZO LA KUONGEZA GHARAMA ZA UMEME
Lakini nawaza kwa sauti tu......ZIMEPITA SIKU NGAPI BILA HUYU MBUNGE WANGU KUJITOKEZA KUKEMEA WATU WALIOMTEKA MSAIDIZI WA MWENYEKITI WETU MBOWE... (Ben)???? NASHAWISHIKA KUAMINI...
Mhhhhhh[emoji33] [emoji33] [emoji33]
Mkuu mbona umesema no employment. ....kumbe unajua kabisa ukilima Matikiti..nyanya...tayari unapata pesa???? Hiyo siyo ajira????? NI KIASI CHAKO WW KUACHA KULIMIWA AU KULETEWA KAMA MWANZO ILI UJIARI NA UACHE KULIALIA..Njia unaijua kumbe CHUKUA HATUA
JPM...
Ingawa najua maana yako lkn huna tofauti na mtu atakayesema MBOWE KAMUULIZE LIPUMBA AKUPE ELIMU...Umejiona ulipo?????
Btw hivi kwa nn Tanzania watu wengi wako negatively minded????
Umesahau nini muda huu mfupi kuwa Lubuva ndiye alikuwa mwenyekiti NEC???? Mbona hujamwambia amuulize huyo???? Au...
Hivi mwanzo had mwisho wa HADITHI YAKO KIPI KIPYA HAPO???? Mbona hayo ndo kila siku mnaimba????
Tatizo mlilonalo ninyi...YOU DON'T WALK YOUR TALK
MY TAKE:- ISSUE MPYA LEO NI JINSI GANI MLISEMA JK ALIKUWA NA MAJINA YAKE MFUKONI KUMKATA LOWASSA...JINSI GANI MNAIMBA UDIKTETA....WAKATI HUOHUO MBOWE...
Kina fununu kuwa MOKILI FUMULAUHI anafanya mapenzi na mke wa jirani yake tena rafiki yake sanaaa...pia kwa sasa ana mpango wa kumuua huyo rafiki yake ili amiliki moja kwa moja mke huyo pamoja na mali zote za huyo best wake
Hebu tumuombe huyu Mokili aje akanushe taarifa hizi la sivyo tutaendelea...
Nimesoma hapa nikakumbuka ule msemo.....NYANI HAONI KUNDULE! !!!!
Hivi ni nani mnafiki?????? MLIMUITA JK NI DHAIFU....HAKAI NYUMBANI MUDA WOTE NI ANGANI....ANACHEKACHEKA TU NCHI INALIWA....NI FISADI......
Maajabu sasa baada ya KUMCHUKUA BABY BOY...MKAMPITISHA KWENYE PIPA LA MAJI NA KUOMBEWA NA...
UVCCM wanakesha mitandaoni kwa sababu WAPO WA KUSOMA NA KUSHIBA YALE WANAYOYATUMA
Hope wewe ni mmoja wao wanaofaidika na kukesha kwao...la sivyo usingejua kuwa wanakesha....KUMBE WANA FAIDA SANA KWAKO UKIZINGATIA MNAKESHA NAO!!!!!! Wao wakipost na wewe ukisoma!!!!!
Sorry:-Nawaza kwa sauti...
Unaonaje kama ikiendelea kuwa siri yako na ukiwashirikisha na wabadili gia angani waanze kuunda baraza la mawaziri kabisa!!!!! Maana tayari wameshinda!!!!!!
ILA AMBACHO HUPASWI KUSAHAU WEWE UMEPIGA MAHESABU NDANI YA MIAKA MITANO NA TAYARI UMEONA YAMEKUBALI....WENZAKO WALIPIGA MAHESABU HAYOHAYO...
Brother! ! Vip ikiwa vice versa. ..kwamba na ninyi kutokuwa na kazi maalumu za kufanya kunakowafanya mlale na kuamkia JF KUPINGA KILA KITU kunawafanya mmeze KILA UJINGA unaotoka Ufipa??????
Ikiwa Ukuta hewalaaaa...ikiwa kata funua hewalaaaaa...ikiwa huyu ana mashamba mengi hivyo ametumia...
(A) Kiongozi wa dini akitumia madhabahu au misikiti kupiga kampeni kwa chama cha siasa linabaki yeye na Mungu kubadili matumizi ya Mungu kuwa kisiasa..Lakini angalau ana haki ya kutimia hiyo madhabat maana ni mhusika
(B) Kuna mmoja ambaye hakuwa na HAKI YOYOTE kutumia madhabahu maana ni...
Wachaga/wapare a.k.a Kaskazini Zone mnnaotafuta utawala kwa kuigawa nchi kupitia saccos zenu(CHADEMA...KIKUNDI CHA KIJO BISIMBA ETI HAKI ZA ...N.K) tangu kipindi cha Nyerere mnaelekea kushindwa hii battle!!!! Kimsingi mnaenda mnapungua!!!!! Shame on you mkabila!!!!! Badala ya kutoa hoja...
Kesi ya uchochezi kwa njia ya mtandao CC 106/2016 iliyokuwa inawakabili washtakiwa Moses Ezekiel Mwaifunga pamoja na mwezie Meshack Mgaya tayari imesikilizwa leo Trh 29/11/2016 na Mh. Hakimu mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mh. Mteite na hukumu imetolewa. Katika kesi hiyo Mahakama imemuachia...
Da!!!!! Maskini Mahakama kuu leo pia amegonga mwamba!!!!!!
Kwa sasa wanataka kukata rufaa kwa HATI YA DHARULA!!!!!
MM naamini kuna kitu amejifunza...kwa sasa angeachiwa tu kwa dhamana
Source:- Azam adhuhuri
ISIS huko Iraq iliwekwa na US yenyewe eti sasa inajifanya kuisaidia Iraq kupigana nayo kutwaa mji wa Mosul,what a conspiracy this country is!!
Kama wanataka kusaidia iraq ilikuwa ni kitendo cha kuita Mageneral wa ISI huko na kuwaambia watoke only that maana wao ndio wamewaweka huko na wanawapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.