Kuna watu wanaleta utani ila mi nimemwelewa sana mtoa mada.Huyu jamaa anatatizo kubwa,ninavyomwelewa ni kwamba huyu jamaa anamwenza ila huyu mwenza wake hamridhishi hivyo anaamua kujichua ili kupoza hamu huu ndio msingi wa tatizo lake.
Mimi nakushauri kwamba tafuta kujua kwanini mwenzi wako...
Hata Yesu alitenda wema kuwaponya wagonjwa na kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali lakini walimtesa na kumtundika msalabani,ila alipopaa mbinguni ndio walijua kuwa yule alikuwa ni masihi
Yaani nakuonea huruma sana pamoja na kupoteza muda wako kutengeneza hotuba yoote hii lakini watu tumeshaamua kuwa rais wetu ni EDWARD NGOYAI LOWASSA.
Labda ujairibu tena mwaka 2025
Lowasa anatisha wewe acha kuzusha sasa hivi yupo hapa ruaha kilombero hadi walimu wameamua kufunga shule maana kila mtu anaacha shughuli zake anaelekea kwa lowasa na bendera za ukawa,kazomewa waaapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.