Wanaume wanapenda wanawake wa kukaa nyumbani na kupika!! Hao wakomavu wengi wanaishia kuchakaa na hakuna anaewashukuru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hizi simu tuwe makini!! Kuna jamaa yangu alikuwa jirani, Nina uhakika yumo humu, alivunja ndoa yake kwa kutuma msg ya mchepuko kwa mkewe kuwa wakutane sehemu wa se.. Hadi asubuhi na mapicha ya huyo mwanamke yaliyopambwa kibao, wakati kamuaga mkewe kuwa hatarudi nyumbani ana safiri kikazi...
Hakikisha unasomesha na WA kwako!! Hao wa mwanaume mwenzio wakikua watakuchukia, kwa kuwa wataona ulimnyanyasa Baba Yao kwa kuwa ulikuwa na hela!! Take care!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa sana kiongozi!! Shamba Eka 2 zenye maji mm mwenyewe nauza milioni 4, ni karibu sana na barabara kuu ni mita 500 toka Barabara iendayo Dodoma, eneo ni Dumila mjinmdogo , na ni jirani sana na centre ya kuuzia mazao!! Nahitaji pesa ninunue shamba huku niliko kwa sasa...
Yaani pointi moja kubwa sana! Ukiona ndugu wa upande mmoja hawakubaliana na ndoa yenu, hiyo ndoa haitadumu!! Kutakuwa na vita na uchonganishi sio wa nchi hii! Watahakikisha hiyo ndoa inakufa!! Take care!!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Wahuni wapo maeneo mengi!! Ila Hilo ni eneo langu binafsi (Mimi ni mwenyeji wa eneo hilo)Lina miwa ya kutosha nimeshaanza kuvuna. Nashindwa usimamizi kwa kuwa Niko mbali na hapo kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa. Nahitaji fedha ili ninunue shamba lingine huku niliko. Bei maelewano kwa...
Kwa anaetaka shamba la Bustani, lipo karibu na High Way ya kuelekea Dodoma eneo la Dumila- Kwa wanaolifahamu eneo Hilo ni maarufu sana Kwa mazao ya bustani. Lina kisima cha umwagiliaji hakikauki mwaka mzima. Zipo Eka 2, unaweza kulima mazao yote ya bustani unayoyafahamu. Karibuni sana.
Sent...
Tena wengine watahakikisha na ndoa inavunjika na usihudumie kabisaa watoto wako, ili uendelee kuwahudumia wao!!
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Na wasukuma ni hatariii!! Wanawekana bila aibu na wanaongea ofcn bila aibu kuteta wenzao[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mwalimu anafanya kazi masaa24!! Undani huu, mtu wa kada nyingine hawezi kuufahamu!!
Kwanza mwalimu hawezi kuingia darasani kama hajajiandaa!! Kujiandaa kunaanzia kusoma ili upate cha kufundisha, kuandaa notsi, kusoma ili kuwa na mpangilio madhubuti wa uwasilishaji somo husika! Tofauti na kada...
Haaaahaaa!! Ndugu hujawahi kuona wazee baadhi Yao wakipata pesa[emoji23][emoji23][emoji23] Sisi Bimkubwa wetu alipopata pesa akawa hapokei simu zetu na Wala hajatushirikisha chochote ! Aliunga urafiki na mdogo wetu wa kiume mtu mzima pia. Tulikuja kushangaa alishanunua Alphad na kanunua Boma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.