Habari za kutwa wana JF.
Leo nawapa mbinu za hawa wake zetu/wapenzi wetu wanazozitumia hasa wanao fanya kazi mbali.
Ilikuwa Jumamosi moja hivi nilikuwa kwenye harusi ya jamaa yangu mmoja hivi badaa ya kuserebuka vya kutosha mara hee kucheki muda ni saa 6 na ushee nikaona home mbali ikanibidi...
Habari zenu wana JF
Naomba kujua mshahara wa mwalimu wa s/primary ngazi ya cheti [ lll ] kwa mwezi kwa wale walioanza kazi mwaka 2013 ukiondoa makato yao yote yani ile salary taslim inayoingia bank Maana kuna jamaa namdai na jinsi anavyonilipa kiasi kidogo sana tofauti na makubaliano yetu Nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.