Guys,
The Political fever in Kenya is high.
Kenyans are waiting and hear where;
1. Uhuru addresses the nation from state house,
2. The opposition leader for NASA Raila addresses at Uhuru Park
3. Chairman of the electoral commission will address the press live from bomas
4. Judge Chacha...
-Waiagiza Takukuru kuchunguza
-Takukuru yacharuka ya ahidi kuwakamata watumishi waliohujumu Halmashauri
Katika Kikao cha Baraza la Madiwani lililoketi kwa siku mbili Madiwani wa Chadema halmashauri ya wilaya ya Siha wameibua ufisadi wa zaidi Milioni 250.
Hivi ninavyowasilisha habari hizi...
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini amemjibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba kuwa Arusha tumejiandaa vyema kwa ajili ya Operesheni UKUTA, na kwamba Mwigulu siyo wa kwanza duniani kutoa lugha za vitisho duniani. Lema amesema kuwa tumejiandaa kufa...
Akili kumkichwa!
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini amemkaribisha Mkuu mpya wa Mkoa Arusha katika kuitumikia nafasi yake mpya.
Mh Lema amefurahishwa na kitendo cha Rais Magufuli kucheza mchezo wake alioupanga na kuucheza vizuri hadi kumteua mtu dhaifu kabisa kuwa RC wa Mkoa wa Arusha.
Mh Lema...
Hatimaye kitendawili kimeteguliwa, Mh Kalist Lazaro amechaguliwa kuwa Meya Jiji la Arusa na naibu wake akiwa Viola Lazaro Limindikoki.
Wote wana uzoefu na mambo ya utawala, naamini wataijenga Arusha yetu, tuwape ushirikiano wafanye kazi kama punda kujenga heshima Arusha kiuchumi, kijamii na...
Wakuu,
Leo chadema jimbo la Arusha mjini wanakwenda kufanya uchaguzi wa Meya na Naibu wake watakaokwenda kupeperusha bendera ya CHADEMA na Halmashauri ya jiji letu kwa miaka mitano ijayo.
Kwa kujikumbusha tu ni kwamba yeyote atakayepitishwa na CHADEMA ndiye mshindi kwakuwa madiwani karibu wote...
Wakati wa zoezi la uandikishaji wa wapiga kura, Lema alifanya kazi kubwa kuhamasisha wananchi wote wenye sifa ya kupiga kura wanajiandikisha.
Tume ilipoleta BVR chache Arusha mjini Mh Lema kama mdau wa siasa za Arusha alifanya kila liwezekanalo BVR zinaongezwa Arusha ili kukidhi matarajio ya...
Peopleeeeeeesssss!
Kama ndiyo kazi inaanza vile huku tukihesabu zimebaki siku 16 kufunga kampeni, wakati Maccm yakiishiwa pumzi CHADEMA wakishirikiana na vyama wenza wa UKAWA wanazidi kupata kasi ya ajabu kufanya mikutano mingi na za nguvu kuwaeleza Watanzania nia yao na dhamira yao ya...
Twaweza walikuja na utafiti wao waliouita wa kisomi japo ukweli waliuweka kapuni, sasa tuulinganishe na utafiti wa wapiga kura halisi tuone ukweli uko wapi.
TWAWEZA: CCM 65: CHADEMA: 26 - Utafiti huu ni dhahiri umefanyikia lumumba, japo uliwaumbua lakini ndiyo hivyo wamepotosha.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI kimeanza mbinu ovu za kisiasa hapa mjini ili kujipatia umaarufu ambao umekwisha toweka.
Ni kwamba hivi sasa Mgombea ubunge wa ccm Arusha mjini Monaban amewakusanya vijana wa CCM ili ionekane ni vijana wa CHADEMA, wamepangwa kuandamana...
Wakuu,
Kama ilivyodaiwa kuwa jeshi la polisi ni kitengo ndani ya chama cha mapinduzi hasa katika kipindi hiki ambacho ccm wanasaka mbinu ya kufunga goli la mkono, baada ya kukosa mbinu zote za ushawishi mkoani Arusha, wameamua kujitangaza kwa mbinu zilizozoeleka za kuwakamata viongozi wa...
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
RATIBA YA MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 2015
tarehe
mkoa
wilaya
muda
maelezo
29/8/2015
dar es salaam
wilaya zote
saa 1.00 asubuhi hadi 12.00 jioni
uzinduzi wa kampeni kitaifa
iringa
30/08/2015
mufindi
saa 3.00...
Wakuu,
Hii ni combination nzuri iliyojaa manukato, iliyojaa matamanio na matarajio ya watanzania milioni 45.
Harakati za kuikomboa Tanzania ilianza miaka mingi nyuma, kuanzia Mrema wa NCCR Mageuzi enzi hizo, CUF mwaka 2000 na sasa CHADEMA kuanzia mwanzo kabisa wakiwa washirika wa CUF baada ya...
Wakuu,
Ninajua kuna wengine nitawakwaza kutokana na andishi hili, hasa makamanda wenzangu wa chadema kuhusu maoni yangu dhidi ya Josephine Mushumbusi.
Kama mnavyojua ni kwamba CC ya chadema ilikuwa na vikao vizito hivi karibuni kwa ajili ya uchaguzi mkuu. Moja ya agenda ilikuwa kumpata mgombea...
Wakati ikiwa hivyo kwa Bulaya, hali bado si shwari ndani ya CCM Wilaya ya Monduli baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli, Edward Sapunyo, Kupigilia msumari wa mwisho na kubariki hatua ya madiwani wake 20 kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
Kaka yangu Manyerere Jackton, you have the case to answer, ukiwa kama mwandishi maalum wa kampuni ya OBC kwa kushiriki kuwadhalilisha wananchi wa Loliondo, kwamba wanyama na wageni ndiyo wenye haki ya kuishi vizuri loliondo, na kwamba wenyeji ni wakimbizi kwenye ardhi yao.
Hii hapa chini ni...
Wakuu,
Wakati CHADEMA ikijipanga kukabiliana na uhuni wa tume ya uchaguzi, ambapo CHADEMA kupitia mbunge wa jimbo la Arusha mjini ilitoa tamko leo asubuhi kuwa kama tume haitaongeza mashine za bvr Arusha, CHADEMA watahamasisha wananchi kuingia barabarani kupinga uhuni huu unaofanywa makusudi na...
Siasa ni ubunifu, siasa ni uzalendo, siasa ni kujitolea kwa moyo.
Kwa miaka zaidi ya 50 ccm hawakuwahi kufikiri kwamba Wilaya ya Arumeru inahitaji magari ya wagonjwa yaani Ambulance, wilaya ya Arumeru hawakuwahi kufikiri kuwa Arumeru inahitaji maji, hawakuwahi kufikiri watu wa Arumeru...
CHADEMA - VEMA!!!
CHADEMA - MABADILIKO YA KWELI UHURU WA KWELI!!!
Uongozi wa CHADEMA Mkoa wa Arusha unawaomba wakazi wa Jiji la Arusha na Viyunga vyake kesho kufurika katika Mahakama ya Wilaya ya Longido ili kuzuia wadhalimu wasitekeleza uporaji wa haki ya Wananchi wa Kijiji cha Longido...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.