DENYO YOU ARE VERY RIGHT, PEOPLE LIKE KAMARADE HAWATUFAI.
KAMARADE JARIBU KUJIFAFANUA ZAIDI WATU WAKUELEWE.ULICHOKIANZISHA MBONA UNASHINDWA HATA KUKIFAFANUA KWA MAPANA YAKE ?????:teeth::teeth:
viongozi wetu bwana wanaanza vizuri sana lakini utashangaa baada ya mwaka si yule tena, sijui wanakuwa wamelishwa nini jamani inakera sana. sasa huyu mama tumwangalieni kwa karibu sana. kama hicho kiwanja ni huyo riz moja...basi na shughuli kubwa sana
keep it though mama TIba!!!
ha haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. njama zao zimeshindwa CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeee, People's Power:smile-big::smile-big: honger akaka LEMA katuwakilishe vyema baba tunakuamini huko mjengoni kakakamue
wewe kishongo unachooogopa ni kitu gani, kwani kumwagika damu ina maana gani kwako???? acha woga.tunataka mabadiliko sasa.SHame iwe kwako wewe. nyinyi ndio mlionyweshwa maji ya kijani kila kitu kwenu ni sawa na jana ya mbele hamtaki hata kuyajua. big up TUMAINIELI tumechoshwa kuibiwa kila...
jamani tumezidi kuwa ni watu wa longolongo tu hakuna vitendo.siku hizi nchi hii viongozi walio serious ni wa kuhesabu.masuala ya urembo ni muhimu sana na wala si ya kihuni. yangepewa kipaumbele sana ili tuuze nchi yetu huko ulaya. sasa tunashindwa hata mbio... aibuuuuuuu tanzania:A S angry::A S...
masuala ya kushikana sijui kubusiana au kukumbatiana hadharani si masula ya ajabu.unless uniambie huyo uliyenaye umemwiba,yaani wewe mwanaume au mwanamke ni mwizi. lakini hata ukiwa mwizi siku wala hatuogopi tena tumeshajihalalishia wenyewe.
so mimi nadhani we mkumbatie tu au shikaneneni. aftre...
~ hiyo yako kaliiiii, it applies kwa jinsia zote si wanaume wenyewe
If you marry a man who cheats on his wife, you'll be married to a man who cheats on his wife.
yaani wewe ndio unajidai kutuingiza mjini. sisi pia tushaishi mjini vilevile. upewe lunch, dinner na kilauri juuu wapi na wapi? in maana mlikuwa mnaangaliana tu muda wooote
acha kutuzugu wewe:confused2::confused2::confused2::confused2: sikuelewi kabisa!!
haya mambo yapo kabisa I support you SMILES. sasa kama huyo bibie kashindwa ngoja wengine wampende huyo mume na wa karibu zaidi ni rafiki yake.sometimes sisi wanawake tunakosea wenyewe. tunadhani tunayo tiketi ya milele kwa waume zetu tukishaolewa, hell NOOO!! UNTIL DEATH DO US APART...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.