Kwa muda mrefu eneo ili maji yanajaa kipindi cha mvua kabla AZAM
hawajanunua kinu cha NMC kulikwa na njia ya kutoa maji sasa AZAM walichofanya baada ya kununua wamejenga ukuta ndo chanzo cha maji kujaa eneo ilo lote maji yanakuwa hayana sehemu ya kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mo Dewji anatarajia kununua gari mpya aina ya Telsa model 3, ambalo linasifika kuwa ni la kiusalama zaidi kuliko mengine yote duniani, linauzwa dola 46,000 (TAS 106,000 Milioni ) Inatumia gesi na umeme tu. Sifa kubwa ya gari hii ni halina muungurumo linatembea kimya kimya, lina camera za...
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe (pichani)amefungua Shauri Mahakama Kuu ya Tanzania dhidi ya Cyprian Musiba mhariri na wachapaji wa gazeti la Tanzanite kwa kuchafuliwa na gazeti hilo. Taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa Membe anataka kulipwa fidia ya TZS Bilion 10.
Rais wa 44 wa Marekani Barack Obama leo imethibitika bado anapendwa na raia wengi wa Marekani baada kufanya ziara kushtukiza na kupokewa kwa shangwe na furaha katika hospital moja katika jiji la Washington DC alipokwenda kutoa zawadi za Christmas na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika...
Huu ndo msafara wa Waziri Mkuu wa Uingereza. Nchi ya tano kwa uchumi mkubwa duniani, bila shaka kuna jambo la kujifunza kwa viongozi wetu wa nchi changa za kiafrika especially sisi Tanzania.
Lakini sisi pia tunamakosa pamoja na makosa wanayofanya wabunge walio wengi (CCM) kutokuwa makini katika kupisha miswada mbalimbali bado tunawapingia kura kurudi bungeni matokeo yake ndio haya.
Hatimaye imedhibitika ni kweli mwandishi aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi aliyepotea kwa zaidi ya wiki mbili zilizopita aliuwawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudi Arabia jijini Istanbul nchini Uturuki mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa katwa...
Nnakumbuka kipindi Marehemu anafanya kazi Radio One ilikuwa ni kipindi cha chaguo la msikilizaji kama nitakuwa sijakosea ulitokea msiba nnadhani wa mama yake mzazi kwao Dodoma ndugu zake ilikuwa wakimpigia simu yake haipatikani ili wamjulishe habari za msiba, ndugu yake alimpigia simu live kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.