dunia nzima inatambua kua uislam unahusishwa na ugaidi kutokana na itikadi yao ya kuamini ukiua kafiri unapewa thawabu. mimi niwaombe hawa ndugu zetu wajiepushe na dhana hiyo kwa hapa tanzania maana tukiamua kuwakatia line hawataenda shule wala kutibiwa mahali pazur
nimetoka mt meru mochwari wakati naingia gari land cruser la hospital ya st elizabeth kwa father babu likaleta mwili wa marehemu aliyeyekufa baada ya mlipuko huo wa olasti. sasa hizi taarifa kwamba ni watu wamejeruhiwa tu si za ukweli. nimeshuhudia ni mama mtu mzima wa kimasai. hali ni tete...
Mzee big up una data za kutosha. mimi biharamulo ni maskani na huyo mbunge unayemsema ni Oscar mukasa, yeye ni mganda kwa uraia lakini ndiye anayebebwa na ccm kwa sababu ni shemeji yake Makamba. Inauma lakini ni kweli, wananchi wameapa akipita asikanyage jimboni labada aje na walinzi.
Mimi na familia yangu ni wanachama hai wa CCM,tumekiri na kuamini ilani ya chama, lakini kwa haya niyaonayo Ndg kikwete si chaguo letu na kura zote Dr slaa atapewa. Chama kilifanya maamuzi mabovu kumsimamisha huyu mtu dhaifu. Makamba mpiga debe anakipeleka wapi chama chetu, na fisadi kinana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.