Tuamini ni kweli, je, kumtendea huyo kijana hivyo kulikuwa na matarajio gani? Kwamba ni kitendo ambacho hakikufanyika hadharani, labda kwa nia ya kumdharilisha. Lakini kama ilikuwa kutaka kujua ukweli kuhusu kutuhumiwa kufanya uchawi, kwa kitendo hicho, mh!
Isitoshe mwajiri wake wa awali amedai...
Kwa kuwa sheria imechukua mkondo wake, tufanye subira kujua ukweli. Kinachojulikana kwa sasa ni madai tu ya huyo kijana ya kufanyiwa ukatili huo.
Kwangu mimi kuna harufu ya kisiasa kama ilivyotokea kwa Sabaya. Jimbo la Babati linagombewa kama la Hai, kwa kutumia siasa za kuchafuana, kupitia...
Kuondokana na sintofahamu hii iliyoketwa na mabango, uongozi wa Simba uijenge timu isipate kipigo kama hicho tena. Ikumbukwe msemaji wao Simba, kila mara amekuwa akitumia maneno na lugha ya kuidhihaki Young katika mikutano yake na wana habari. Wakereke tu hadi akili iwarudie.
MKUKI KWA NGURUWE
Je, kuna uthibitisho wa Mungu wa miujiza katika Biblia au Kuran?
Baadhi ya miujiza iliyohadithiwa kwenye hivyo vitabu imethibitishwa kisayansi na mingine inabaki ni simulizi tu.
Uchambuzi wako ni sahihi kabisa.
Ni kweli waumini wa dini ni watu wenye akili ndogo (small minds) ambao hujadili watu (discuss people) na biblia ni hadithi za watu kuanzia Adam na Hawa hadi maisha ya Yesu. Kuran ni maisha ya Muhammad.
Viongozi wa dini hutumia ufukara wa fikra za waumini kama...
Ushabiki wa timu za mpira wa miguu una raha na karaha zake.
Raha ni pale shabiki timu yake inaposhinda. Karaha ni pale shabiki anapojifanya yeye ndiye kocha.
Mpira ni dk 90 ambapo matokeo yako miguuni mwa wachezaji 11. Kocha uwa amemaliza kazi yake ya kuandaa timu na kupanga kikosi cha...
Usilolijua ni kama usiku wa giza. Ukubali usikubali hakuna mfungaji bora, hatari na mahiri kama Konkon wa Yanga. Kwa sasa anaandaliwa kwa mechi za kombe la vilabu Afrika. Muda utaamua atakapoanza kushiriki kikamilifu.
Tujadili masuala ya Kitaifa na siyo MTU.
Hivyo basi, ungetoa mema na mazuri aliyofanya tangu amrithi Mtangulizi wake ambaye katika miaka 5 yake ameacha alama inayonekana, km miradi ya kimkakati (SGR na Bwawa la Nyerere), huduma za jamii (elimu na afya), miundo mbinu (daraja la Tanzanite...
Suala la Nishati ni mtambuka likihusisha Wizara kadhaa km Kilimo Ardhi, TAMISEMI, Mazingira nk. Hivyo nafasi ya Naibu Waziri Mkuu kama Waziri wa Nishati ni kubwa sana katika kusimamia uendeshaji wa Wizara hizo zichangie katika ufanisi wa upatikanaji wa nishati
Kwa kiasi nakubalina na hoja yako hiyo, LAKINI:
Tatizo la uendeshaji mashirika ya Umma na Taasisi za Serikali ni ugonjwa wa siku nyingi ambao mamlaka za uteuzi zimeupuuza, kuulea na kuubariki. Ila utawala wa sasa umezidisha kiasi cha kuamini kuwa suluhisho ni kukabidhi uendeshaji wake kwa...
La msingi ni yaliyomo kwenye mkataba. Isitoshe kuna ucgambuzi unaothibitisha kuwa IGA ni feki.
Msikilize mchambuzi
https://youtu.be/ePOf1OFpYws?si=RZET06hDveiyRylg
Tatizo ni viongozi tuliowaweka madarakani, kwa kura zetu, kuteua washikaji kuendesha mashirika nyeti. Serikali ndio inapaswa kubinafsishwa iendeshwe na DP World ili waweze kusimamia uendeshwaji wa mashirika ya Umma: TRC, TANAPA, TPA, TIRDO, na baadhi ya Wizara km TAMISEMI
Wajua lakini hawajui kuwa Yanga ya sasa ina uwezo wa kucheza dhidi ya "club" yoyote duniani. Kwa za ndani zote zitaonekana dhaifu. Ushahidi ni Simba kufungwa magoli 2, ngao ya jamii, yaliyokataliwa, wakati ndio kwanza inajengwa na timu mpya ya ufundi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.