Sio roho mbaya nchi ni ya watanzania wote Kuna mambo mengine bunge linapitasha vitu hivyo hainiingii akilini kwamba wake zao wapewe pensheni Kwa kazi Gani hasa waliofanya kuwapikia waume zao au hizo fedha c waelekezee kwenye miradi ambayo watanzania wote tutanufaika nayo
Napata mashaka sana na jeshi letu la uokozi mkoa Kagera tukili kwamba kwa ndege iliyo zama ziwani kama mgekuwa kazini siku hiyo watu zaidi ya 26 wangeokolewa ajari imetokea karibu na uwanja wa ndege jilani kuna bandari pia kabla ya kudondoka mawasilino ya hawali yalifanyika kuashilia hali si...
tatizo ndugu yangu umendika mazuri tu mabaya yake hakuandika ok pamoja na mazuri aliyofanya Mimi nilimchukia pale aliposhindwa kuishi vizuri na vyama vingine vya siasa Na kutumia bunduki kama fimbo yake ya kuazibia wale wote alio on a ni kikwazo ktk utawala wake
Sioni sababu ya kuendelea kuvunja katiba mwisho itasambalatika yote mleta mada ningekuelewa ungesema au ungeoji lini katiba ya warioba itafanyiwa mchakato
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.