Ni kweli. Ni ngumu sana kupambana na adui anayetumia 'human shields". Hata Osama Bin Laden na magaidi wengi wa pande hizo wanapenda sana kunitumia na ndio maana inakuwa hida sana kupambana nao. Lakini, ingekuwa ni battle ya askari kwa askari katika Uwanja wa vita, mbona mapema tu!
Iran haijawahi kupigana na yeyote zaidi Vita vya Miaka Minane na Iraq. Israel ameishawahi kupigana vita na nchi za Kiarabu zaidi ya Sita kwa wakati mmoja na akazishinda. Hapo tia akili mkichwa nani zaidi.
Gardner akiwa hai uliishawahi kumsikia anapiga nyimbo za Wasafi? Kama yeye Gardner aliwachukia na kuwatenga Wasafi akiwa hai, kwanini Wasafi wampende akiwa mfu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.