Wakuu, salaam!
Mimi ni layman kwenye masuala ya kanun za kabumbu. Hivi, inakuwaje kipindi hiki baada ya kumalizika kwa msim wa ligi kuu vpl 2017/2018 dirisha kuu la usajili bado halijafunguliwa lakin tunashuhudia clubs za Chamazi, Unyamani, wakamua alizeti wakiendelea na usajili na kuwatangaza...
Nimejaribu kuwekeza kwenye matumbo ya wapenda chips na kwa bahati 'goli' liko eneo poa kabisa. Sasa kali ya mwezi Mei ni pale kijana wangu na kwa ufuatiliaji wangu wa karibu, mauzo ya siku 6 yalipofikia elf 80 tu na huku nikibakiwa na elfu 10 tu kama faida baada ya kutoa elfu 55 ya viazi na...
Wakuu nmehemwa hapa baada ya kuona hata kusoma health records au environmental health kwa level ya cheti NACTE kupitia guidebook yao wamelazmisha biology nami skusoma biology ila nna ufaulu mzuri wa Chemistry B, Maths B, Physics A, Geography A na English C.
Kuna manoeuvre yoyote naeza fanya hapo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.