Search results

  1. H

    Elections 2010 Wasimamizi wa uchaguzi wapigwa marufuku kutangaza matokeo bila kibali cha NEC

    habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa wameligwa marufuku kutanza a matokeo ya kura zilizopigwana kuhesabiwa katika maimbo yao hadi hapo...
  2. H

    Elections 2010 Ajira za jeshi katika vyombo vya habari

    Wiki iliyopita chombo kikuu cha dola kilitoa matangazo yasiyo ya kawaida katika vyombo vya habari kuwa inatarajia kuajiri madereva wasio na idadi wenye elimu kuanizia darasa la Saba. Na wanaotaka ajira hizo waripoti moja kwa moja katika Kambi ya Mgulani. Hii ni kinyume kabisa na utaratibu wa...
  3. H

    Dola kuishughulikia CHADEMA

    DAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa Idara ya intelejensia walikutana na timu ya Kampeni ya CCM kwa ajili ya kutoa mlisho nyuma, na...
Back
Top Bottom