habari ambazo zimelifikiadawatila hatudanganyikikutoka ofisi ya waziri mkuu zinzonyesha kwamba wasimamizi wauchaguzi katika majimbo yaani wakurugenzi wa halamashauri za wilaya, miji na manispaa wameligwa marufuku kutanza a matokeo ya kura zilizopigwana kuhesabiwa katika maimbo yao hadi hapo...
Wiki iliyopita chombo kikuu cha dola kilitoa matangazo yasiyo ya kawaida katika vyombo vya habari kuwa inatarajia kuajiri madereva wasio na idadi wenye elimu kuanizia darasa la Saba. Na wanaotaka ajira hizo waripoti moja kwa moja katika Kambi ya Mgulani.
Hii ni kinyume kabisa na utaratibu wa...
DAWATI LA HATUDANGANYIKI limepokea taarifa za kuaminika kutoka vyanzo vyake kuwa kuwa mara tu baada ya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CHADEMA, siku ya Jumamosi tarehe 28 Agosti 2010 wakuu wa Idara ya intelejensia walikutana na timu ya Kampeni ya CCM kwa ajili ya kutoa mlisho nyuma, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.