Kweli we ni Michosho, sisi tuna pima. Kufanya mazuri ni wajibu wa kiongozi lkn sio kwa hayo mazuri machache ndo watuibie hela nyingi namna hiyo. Tunajua zingine mmechukua za uchaguzi, ila hakuna marefu yasio na ncha, Sudani ilikuwa hivyo hivyo. Awamu hii ndo awamu watu wamekua na halo mbaya...
Nimekusoma dadaangu, umeandika kwa akiri na hekima ya kikubwa, ila km ana try anaweza fanya kwa siri hata sisi tunajua mabinti hawanaga mpenzi mmoja hasa b4 ndoa, Siku jamaa akijua anaweza hisi bahatimbaya labda kapitiwa, mnaweza yajenga. Mbona tunagongewaga Mara kadhaa na mnayamaliza maisha...
Hata mm ilinitokea kwa x wangu, aliniacha kwa mbwembwe kua sina mbele wala nyuma na alipata jamaa ambae alikua na uwezo kwa kweli, lkn yalimkuta eti akaanza turudiane. Alikuja Siku moja nikamgegeda na nikamwambia usirudie kunifwata fwata. Saiz yupo tu wahuni wanamzeesha. Tuwafundishe watoto wetu...
We unafikiri wanaume ni wajinga? Nijue dem hana mapenzi na mm ana intrest zake af nigonge kavu! Kwa vijana wa Sikh hizi hawagongani kavu, labda km wewe ndo zako. Huyo dem kwa saikolojia ya vijana was kihuni angeweza kupigwa hata mtungo, na bado vijana wakatumia Mpira. Msichana anapo amua...
Hayo ndo yalikua mapatano yao kua waje waoane, swala la kupeleka posa au nn hayo hayana mantiki, km binti alisepa kisa jamaa hakuwa na nia ya kuoa basi asingerudi. Shida inakuja alisema karudiana na Ex wake halafu jamaa kamtenda yeye anarudi tena kwa jamaa. To be honest Huyo binti hata akiolewa...
Kweli kabisa, watu wanadhani Assange kaonewa, kusengekuwa na sheria mitandao ingeleta shida duniani. Kunavitu watu wanatamani kufanya lkn sheria haziruhusu
Uchungizi haukuonyesha km kubenea alihack information inawezekana kuna mtu alivujisha taarifa zikamfikia kubenea. Sidhani km hilo ni kosa la mwandishi, hilo ni tatizo la maafisa wa usalama kuwa taarifa hazitoki nje. Lkn Julian anakiuka sheria za kimtandao ambazo mataifa yote wanaheshimu...
Kweli me naona Mayalla usifananishe issue ya Julian aisee Yale sio level ya Africa, kwavyovyote yule anatumia hackers kitu ambacho ni kosa la jinai. Kwa hacking tu unaweza kuiba hata Banks ndo maana kukawa na mifumo ya Security. Hizo habari anazo zisema mayala ni uchunguzi wa kuhoji sources lkn...
Hiyo Last option ndo wanaume wengi hawaitaki, na akikusoma km unataka kuolewa naye sababu umekosa uliye mtarajia, matatizo yanaanzia hapo. Utajuta. Tuanze kuwafunza watotowetu elimu kuhusu mahusiano, inauma sana binti anafika 50 hajaolewa. Kuolewa sio bahati tunakuaga na malengo makubwa sana wkt...
Kweli mkuu, wanakuwaga na nyodo kipindi hicho na dreams za kuolewa na wanaume matajiri. Umri ukiyoyoma wanaanza kutongoza wanaume. Nilikua naye na mm, kila Mara hunitongoza wkt tulisha achana. Ni kumkosea heshima mwenza wako kuwa in last choice au option. Yaan unakuwa bora Mume. Nivizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.