Tunaomba amani itawale na tusiwaruhusu kupata kisingizio cha kuharibu uchanguzi huu maana ndio lengo lao. Wasimamizi kuweni makini, magamba wanaweza hata kuwalewesha ili tu mkisinzia wapate nafasi ya kutupia mabox feki ya kura. Tukiwabana kina kona na kuhakikisha amani inakuwepo tutashinda kwa...
Karibu sana Mama Tibaujuka, Tunategemea ushirikiano wako wa karibu katika kujibu hoja kwa uhalisia bila kuchakachua/kupika majibu kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi. Ila kwa imani tulionayo kwako tunatarajia majibu yenye uzito sawa na hoja na sio majibu mepesi kwa hoja nzito na zenye maslahi...
Ndugu Michael, gharama zipo ila ni kidogo. Ili huduma hii iweze kujiendesha, mtoa huduma (service provider) anapotaka kujisajili anatozwa sh 100,000/= kwa mwaka. kwa mtumiaji wa simu anapotaka kuulizia service husika kupitia simu atatozwa sh 250/= tu. kwa kampuni kubwa (corporate) na zenye...
any service provider provided that the service is legally authorized. hata mafundi ujenzi, mafundi DSTV, fundi mechanics, MC, catering services, fundi bomba, fundi umeme, proffesional doctors, wanasheria etc. wote hawa tunawakaribisha kujisajili na huduma hii ili jamii iweze kuwafikia kwa...
Wafanyabiashara wa mazao mnaalikwa kujisajili ili kuunganishwa na wakulima. Tuma Message kwa kuanza na neno TAARIFA, jINA NA ZAO UNALONUNUA kwenda 15450. Au waweza kuwasiliana nao kwa email zifuatazo, info@brsolutionstz.com, it@brsolutionstz.com, sales@brsolutionstz.com.
Ndugu wana JF, Heshima Kwanza.
Baada ya utafiti wa mudu mrefu, imefahamika kua tatiza kubwa la wakulima ambao ndio asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania, wenye kipato cha chini waishio vijijini ni ukosefu wa taarifa za masoko na wanunuzi wa bidhaa zao. Kumekuwepo na juhudi nyingi ikiwamo ya...
kujisajili ni rahisi, tuma message kwa kuanza na neno TAARIFA JINA, MAHALI ULIPO NA ZAO UNALONUNUA kisha tuma kwenda 15450. au wasiliana nao kupitia email info@brsolutionstz.co, it@brsolutionstz.com, sales@brsolutionstz.com. ukishatuma sms utapigiwa simu kwa maelezo zaid.
Ndugu wana JF, Heshima Kwanza.
Baada ya utafiti wa mudu mrefu, imefahamika kua tatiza kubwa la wakulima ambao ndio asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania, wenye kipato cha chini waishio vijijini ni ukosefu wa taarifa za masoko na wanunuzi wa bidhaa zao. Kumekuwepo na juhudi nyingi ikiwamo ya...
Nadhani command sio nyingi na imeanza kutumika kwa ufanisi. Tatizo kubwa ni awareness kwa watu na pia watoa huduma waweze kusajili huduma zao ili watumiaji waweze kuzipata pindi wanapouliza. Ushauri wako wa kutumia USSD ni mzuri lakini kuna mlolongo mkubwa wa menu kwenye hii huduma. USSD...
With advancement of technology, new way of marketing and exposing Business contacts and physical address has been discovered which use mobile phone as a medium. Tanzania Huduma Fasta mobile phone directory is the first product of its kind established in Tanzania by BR Solutions, for the...
With advancement of technology, new way of marketing and exposing Business contacts and physical address has been discovered which use mobile phone as a medium. Tanzania Huduma Fasta mobile phone directory is the first product of its kind established in Tanzania by BR Solutions, for the...
wanafunzi wote wameshatawanywa na polisi lakini wamekutana tena eneo flan mjini panaitwa nyerere square wanajipanga wafanyeje. baadhi yao wamekamatwa wako polisi kwa mahojiano. nitaendelea kuwafahamisha maana nipo udom na nafuatilia kwa ukaribu suala hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.