Wakuu salama???
Nahitaji mbegu ya kuku wazuri wa kienyeji kwa ajili ya kufuga.
Kwa anayeweza kunisaidia naomba afanye hivyo. Nipo kigamboni Dar es salaam. Napokea ushauri pia. Asante
Wakuu habari zenu,
Ninatafuta sehemu wanapouza vyoo vizuri na imara vya kukaa. Kwenye pita pita zangu humu mitandaoni nimeona choo cha Arrow wanasema ni kizuri sasa sijui kinawapatikana wapi pia kama yupo anayefaham brand nzuri zaidi na imara tafadhali naomba mrejesho.
Pia ninahitaji vya kukaa...
Wakuu nawasalimu,
Kutokana na ushauri na maoni pamoja uhalisia wa mahitaji yangu nimebaki na option 3.
1.IST old model
2.Spacio new model
3. Premio old model
Wakuu naomba ushauri wenu specifically nichukue gari gani yenye engine gani nzuri maana naona engine ni nyingi afu zinatofautiana na ya...
Wakuu nawasalimu...
Kutokana na ushari na maoni pamoja uhalisia wa mahitaji yangu nimebaki na option 3.
1.IST old model
2.Spacila new model
3. Premio old model
Wakuu naomba ushauri wenu specifically nichukue gari gani yenye engine gani nzuri maana naona engine ni nyingi afu zinatofautiana na ya...
Mkuu mimi kwenye kwenye suala uendeshaji sina shida na naendesha manual hivyo kwa uzoefu wa barabani nipo vizuri
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Mkuu bado naendelea kutafakari taarifa mbali mbali hivyo naomba ushauri zaidi dhidi ya SUV cars ili kama ni kujipanga upya kibajeti na vingine ili niweze kupata kitu kizuri ambacho hakitanisumbua maana pia nimesikia mtu unaweza kufunga gesi gari ikiwa na cc kubwa na wanasema ni rahisi japo sina...
Unamuda gani nayo mkuu na ni generation ya ngap? maana pia kuna wadau humu wameshaur nitafute 2nd generation sasa bado sijapata mwanga zaidi
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.