Sio kweli ni dhana tu,ni kama kipindi kile tulipokuwa tunaamini Kila kinachotengenezwa tz ni feki Kwa Sasa huduma Bora za kibingwa zinapatikana hospitali za serikali.
Hufai kabisa mchana Wala usiku wewe ni mnafiki,muongo na raghai hata huko unakofanya kazi basi tu Kama ni kweli hufai kuwa mtumishi wetu! nathibitisha kauli yangu,
Wewe si ulijua ni mke wa mtu?
Halafu akakuambia yupo kwenye hatari zake?
Halafu ukamwambia utakojolea nje?
Na Kisha ukarudia Tena...
Nimesoma kote sijaona mahali kuwa Magufuli ndio alikuwa sababu ya hiyo hotel kudidimia,si juzi tu mlituambia COVID ndio ilikuwa sababu Leo Tena mmebadilisha gia,
Ok Asante kwa umbea.
Wana makasiliko ya power failure,ndio maana wanakuja na majibu rahisi " utafiti mwitu"
Utafiti huu hapa
Alipita na watano moja ilifeli mwanzo wa safari,mbili zilianza mwendo zikiwa legelege zikazimikia njiani hazikumaliza mwendo,moja ilianza kwa ushupavu ndani ya dk moja ikafika mwisho wa...
Brother hebu acha basi nyumbani nimeacha ndara, haya Nachepuka naenda kutafuta ndara! Ujinga gani huo?
Hata mkeo akipata habari anaanza kukuuliza umeikosa Nini mme wangu mbona Kila kitu nakupa?
Lakini akikuona na kisu atabaki kusema haya bwana,
Maana anajua ulichoenda kukitafuta Hana! 🤣🤣🤣🤣
Unajua watu tunatofautiana Sana aidha maoni ya mtu binafsi huathiliwa pia na ubinafsi na nafasi aliyo nayo wakati huo kuufikia mkate wa uzima.
Labda nikuulize we sa hivi upo kitengo gani Cha upigaji au kamba yako Ina urefu gani hadi uponyokwe na Dua kubwa namna hiyo?
Nilisikia ulikosa hela za kuchapisha kitabu! Kumbe kishatoka aisee halafu buku tu!🙏 Ingawa maalifa ya kitabu yalishindwa kukupa utajiri Ila utatajirikia hiyo buku kupitia hapo nyuma,Ila kamshauri Mzee wa makafara atupumzishe kidogo dozi aliyotoa haifai ,,🤣🤣🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.