ikiwa imefikia kipindi watu wanauliza ni nini dalili ya mchana basi watu wawe tayari kwa lolote kutokea katika jamii hiyo..,ikiwa haya yanayoendelea kutokea igunga bado yanaonekana ni matukio ya kawaida ambayo watu hawatakiwi kushtushwa nayo eti kwa kivuli cha siasa na uchaguzi basi watu wakae...
kuna wakati lazima watanzania tujitambue sisi ni watu wa aina gani.,ikiwa inafikia kipindi watu waache yale yaliyofanya wajitambue na watambulike kama watanzania, kipindi hiko ni cha kuchukua hadhari kubwa na kutafakari kwa umakini.,kuna wakati hua watu wanafanya mambo ambayo yako nje kabisa ya...
Katika kuelekea uchaguzi mdogo wa jimbo la igunga unaotegemea kufanyika hivi karibuni, kumepelekea kuwepo mikakati mbalimbali inayofanywa na vyama mbalimbali vya siasa katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na kuwa chini ya chama husika.
Kutokana na hulka hiyo CCM imejikuta ikipanga...
katika mazingira ya kawaida posho si mshahara bali ni incentive ya kumfanya mtu afanye kazi kwa kujituma zaidi na kwa moyo mkunjufu. Lakini mara myingi kiwango cha posho kinatakiwa kifanane na mazingira na hali halisi ya kiuchumi wa eneo husika na hali ya kiuchumi wa chama kinachotoa posho hiyo...
NI HAPA HAPA. Wadau walisema hatoki hata mmoja sass RA Katoka mmeanza mara ooh hamuwawezi mara pooh wamekwama,,,lipi Jena KWENU? Mnakuwa Kama hula mnapata perio....ikifika LAZIMA kuziba ikiisha eehee
Nape ana vituko kweli ndo kaibukia Lindi. Sasa mimi najiuliza siku zote hivi CCM haikuwa na makatibu wa enezi? yaani CCM tunaisikia kila siku hata katibu wao mkuu hazunguki kama yeye. Wapi mapuri, mwanri na chiligati kipindi mlipokuwa na nafasi hiyo? Au Nape ana agenda yake ya siri na si ya CCM...
Zitto kwa kuwa Mwenyekiti wa kamati ya mashirika ya umma aliweza kuiona bajeti ya mkulo mapema ndo akaja na chakachua yake. Hebu oneni haya aliyoyasema mkulo : Bajeti hii ni ya kubana matumizi ya Serikali.
Hatua za Kibajeti:
1. Kupunguza malipo ya posho zisizo za lazima;2. Kupunguza...
kuna kila sababu ya kuendelea kuamini kuwa elimu ya GreTa thINKERS tulionao hapa haitufikishi popote katika safari yetu ya kujiletea maendeleo. Utaligundua hili ukiangalia yale wanayoyasema na kuchangia humu.....!
Nimekuwa nikifuatilia huu mjadala tangu mwanzo lakini kwa kifupi ni kuwa kilichoandikwa na mchambuzi aliyetuma thread hii ni wazi kuwa kinauhalisia na kimethibitishwa kwa mifano halisi aliyoitoa katika thread yake lakini pia upotopoto wa majibu na hoja zilizofuata katika kujaribu kuipinga na...
Nimekuwa nikifuatilia huu mjadala tangu mwanzo lakini kwa kifupi ni kuwa kilichoandikwa na mchambuzi aliyetuma thread hii ni wazi kuwa kinauhalisia na kimethibitishwa kwa mifano halisi aliyoitoa katika thread yake lakini pia upotopoto wa majibu na hoja zilizofuata katika kujaribu kuipinga na...
kuna ground zimeundwa ili kujustify vitu fulani kwa maslahi ya watu wa kundi fulani..,kuna topic ambazo kiuhalisia hazijawa moved bali zimekuwa deleted and banned completely just the matter iz it claims negatively about slaa and chadema..,thats all....!
ushahuri wangu ni kuwa tujaribu kuwa na...
kuna wakati watu hudhani kuwa wao wameumbwa ili wengine wawafuate wao.,ni kwa mtazamo huu huona kuwa wanachowaza wao siku zote kiko sahihi na wengine hawana uwezo wala vipawa vya kuwaza kama wao, hivyo kudhani kuwa kukosoa ni kazi pekee waliyoumbiwa na pia hudhani wengine hawana nafasi ya...
Ni wazi kuwa post ambayo ilitumwa ililenga ku-stress suala zima la maadili yanayoendana na uongozi. Tofauti na pale kwenye thread inapoelezewa kuwa ilipelekwa. hata hivyo thread ikiwa innapelekwa mahala fulani ambapo tayari ilishajadiliwa inaoneshwa kuwa iko moved lakini hilo alikufanyika pindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.