Ndio sio vibaya kusafisha lkn km labda ni mimba inatishia kutoka kwa sababu kutoka damu matone inatosha kuwa dalili ya kutoka mimba bila maumivu ht kidogo
Jamani naomba kuuluza swali mwenzenu nina miezi 2 sijapata period na baada ya wiki 5 nilianza kuhisi dalili za mimba km kichefuchefu kupata haja ndogo mara kwa mara kuchagua vyakula uchovu baada ya wiki ya 7 dalili zikafutika nikaenda pharmacy nikanunua kipimo cha mimba nikakuta positive lkn...
Habari zebu wana jamvi Mimi Hii mada ya kurudi nyuma siku 15ndio sielewi menstrual cycle yangu haieleweki yaani in exactly ni siku ngapi Nina mzunguko zaidi ya miwili S's nitajuaje hiyo pin point mom sitaki kupata motto naomba mnisaidie
Dada faiza mi naomba kuuliza km mume alijiweka nyuma ktk utafutaji kila kitu anafanya mke mfano ktk ujenzi wa nyumba je mkiachana mume ana haki ktk nyumba hyo Wakati hakusaidia au awe amechangia asilimia 5/100
Kujadili maumbile ya mtu nikuingilia kazi ya mungu mungu aliumba kila kitu kwa maana yake kuna mihogo,mguu wa mtoto kuna vibamia ss kila kitu mungu ameumba kina pair yake papuchi kubwa kwa mguu wa mtoto au limuhogo na papuchi ndogo kwa vibamia kazi kwenu watumiaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.