We ndio ndezi kweli, kuna kiongozi anafanya jambo kwa pesa yamfukoni? mbona wengine wanashindwa kufanya kitu kama hicho? kubali tu kua magufuli alikua na maamuzi mengi magum na yenye tija kwa nchi kama huo ujenzi wa hizo kota
binafsi nakukubali sana mkuu, ila unaonaje kwa leo tukitofautiana kwenye hili? wale walikua wanaonesha mapenzi kwa rais wao na sio kwa mwenyekiti wa chama
hebu acha akili ya kimasikini bhana...milioni 10 ni fedha ya kawaida sana kupewa timu ya taifa tena iliyo shinda mchezo, sio kila kitu cha kulalamika vingine potezea mkuu
niamin mm mkuu nakuhakikishia...hamuwezi kufanya chochote, acha kuumiza kichwa na siasa za upinzani mkuu utapotea utaanza watoto, mke/mume nna ndugu zako
hapo kwenye 'my take' ndio ulipo feli kabisa...badala ya kueleza hatua mlizo au mnazotarajia kuzichukua kumsaidia huyo ndugu aliekamatwa wewe unakomaa na katiba mpya, ina maana bado tu hamjashtukia kua hamuwezi pewa katiba mpya? eleza namna ya kumuokoa huyo ndugu sio katiba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.