Mbeya: Polisi wadaiwa kuwakamata wanachama wa CHADEMA zaidi ya 30

MaCCM hali mbaya yatasumbua sana, CCM imepoteza ushawashi kwa wananchi, haikubaliki tena.
Kutumia majeshi kuwadhiti CHADEMA haitawasaidia.
Huku mtaani maisha ni magumu mno.
 
Mbinu za ajabu na zarau kwa Watanzania, wameona habari ya Katiba na Tozo watupumbaze. Ukweli ni kwamba mnajenga chuki mbaya zaidi na itaigarimu CCM zaidi,upole wa Watanzania na utu una mwisho.
 
Back
Top Bottom