Sio kila mtu best unapaswa kumjibu ,utapoteza ATP zako bure massage send and derived ,hongera kwa ujasiri, humu jamii foram kuna wengine sio watu bali ni mashetani waache wapite
Kuna changamoto moto mkuu kwenye maelezo yako kesi za ardhi hazisikilizwi mahakama ya mwanzo bali migogoro ya ardhi huwa inaanza kwenye mabaraza ya ardhi ya kata ikitoka hapo inaenda mabaraza ya wilaya ,sasa je wewe kesi yako ilikuwa baraza la wilaya au?
Hicho kisiwe kichaka cha kujificha serikali inawajibu wa kutengeneza nafasi za ajira kwa watu wake kwa hilo jpm pamoja na mazuri mengi alichemka mfumo wa elimu na ajira zetu umelenga kuajiri watu sio kujiajiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.