daaaah..... aiseee bro.... 95% ya Watanzania wenzetu wanadhani ile vita ni ya kidini....
wako ignorant kabisa kabisa kabisaaaa, upeo mdogo na hivi taarifa za dunia hatupati kwa bando zetu hizi za kuunga unga, shida tupu....
Amekutwa na alcohol 450 kinyume na sheria. Sheria ni alcohol ngapi ??? Ingekuwa Ulaya polisi au media ingesema 450 ni mara mbili au mara kumi ya kiwango kinachokubalika.
Halafu siku hizi breathalizer ni kidude kinatosha mfukoni, wao la kwao linaishi juu ya meza la chuma limechongwa SIDO...
Mtoto karepiwa (jinai) akiwa shuleni (elimu), mpaka kachanwa sphincter nyuma (afya), sasa inakuwaje issue ya wizara ya Gwajima ? Hauoni Gwajima mwenyewe kaipiga cross kwenda Mambo ya Ndani ?
Na kama ni issue ya Gwajima, how does she get a pass, kwa nini anapeteshwa na kupongezwa ?
Eti...
Na Mama Mtu akamatwe for criminal negligence and child trafficking for sexual exploitation. Kazaa zaa ovyo hajali mtoto na kamuuza kingono.
Yeye na Mamaake (bibi) kwa mara ya kwanza wameoana sphincter za mtoto zimekata siku alipofunuliwa na daktari. Eti walikuwa hawajawi kumcheki. Huo ni uzembe...
"Wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti..."
Waambie angekuwa yumo stoo ya ofisi za chama au chooni angeshatoka siku ya tano sasa.
Watoke nje ya ofisi za chama, waakanzie polisi na kufanya canvassing and announcing ndani na nje ya mji.
KWA NINI mwekezaji awe na upendeleo kwa wewe Tanzania. ????
Kwa Mzungu Malawi ni sawa na Burundi, Tanzania ni sawa na Msumbij, Ghana ni sawa na Congo. With one exception: wapi kuna maslahi kwake !
Jiulizeni hivi vitu Watanzanja, tusiwe wapumbavu wakubwa kudhani kuna Mzungu anaipenda...
Kama gesi iko kila mahala duniani kwa nini wamesubiri miaka mitano wanatubembeleza sisi, kwa nini ????
Huoni labda wanakudanganya ? Labda gesi yako iko kina kifupi, au ni safi zaidi, au ni cheaper kuliko huko kwingine, au wanaona nchi ina amani tofauti na Capo Delgado Msumbiji ???? We...
Mkadha (clergy) ndio nilidhani anaongoza mazishi, sio waziri.
Serikali inajikosha misibani ili kusiwepo na scrutinity (kuhoji) uzembe wa kiutawala, kama upo, uliosababisha ajali.
Ifike mahala tukatae kuitazama serikali kama mama katika kila kitu. Tusidhani msiba unakuwa na hadhi kwa vile...
Samia ametisha kwa kuendeleza Magufuli alipoishia ? Kwani Samia alitegemewa aachane na ya Magufuli azue miradi yake mipya ya umeme wa makaa ya mawe ?
Unampa mtu sifa kwa kufanya jukumu lake. Amekutisha wewe labda, third world peasant citizens ambao hata hamjui kiongozi majukumu yake ni nini...
Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya, Katibu Tawala wa Wilaya....
Distinction without a difference
Point is, Kahama stands out in developmental statistics strictly because of massive mining industry. Simple as. Si kwa sababu ya bureaucrats Halmashauri ya Manispaa ya Kahama.
WEWE ndio unasema, sio sisi tunasema, speak for your damn self.
Mnyonge mnyongeni my foot! Kwa nini tumnyonge mnyonge? Na tukishamnyonga anapataje haki yake mtu keshakufa ?????
Kahama ina upekee wa kitakwimu sio kwa sababu ya Mkuu wa Wilaya, bali kwa sababu ya uchimbaji. Plain and simple. Who...
Kuna mtu atakuwa kachomeka pendekezo - labda John Mnyika mwenyewe aliyebeba hayo makaratasi bungeni - halafu hakuna mwingine aliyesoma kila kurasa, yakapita. Kama mikataba na miswaada vile inavyo kuwa processed. The incorruptible think factory of the party, John Heche, Tundu Lissu, Azaveli...
Itasaidia vipi kupunguza "utitiri wa wabunge" kama bado unapendekeza kuongeza kundi lingine la tiketi ya wanawake kupitia mikoa ?????
Nilidhani tumefika mahala wanawake hawataki tena kutamka "hatuwezi bila kuwezeshwa na mwanamme." Kumbe bado mwanamke hajiwezi bila kushikwa mkono ?
Bunge...
Hayo mapendekezo mengine ndio the worst news in the stands.
CHADEMA wamesema wanataka vyama vipeleke majina ya watu watakaokuwa wabunge automatically. Na hao wabunge watakuwa 30% ya bunge la Jamhuri.
Here is the arithmetics:
Kuna wabunge 264 wa majimbo. Wakiwekwa wakuliwazana, mwanamke na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.