Kwanza naipongeza Wizara na Serikali kwa ujumla kwa kuanzisha mitihani ya Baraza la Madaktari Tanganyika, na pili nalipongeza Baraza kwa kutunga na kuisimamia mitihani ya kabla na baada utaraji (pre and post internship examination, Na zaidi kwa kutoa matokeo kwa wakati. Kwa haraka haraka kazi...
Kwa dhati kabisa nasema ahsante kwa TANROADS Dodoma kwa kuboresha barabara ya Dodoma Singida. Tunawashukuru hasa kwa kutoweka kibao chochote cha tahadhari ya matuta na ujenzi.
Mungu awabariki kwa weledi huu, na Waziri awaongezee baraka mkae madarakani muda mrefu kwa kusababisha damages kwa...
Nimebaki najiuliza for years, hili jina limetoka wapi ? Je si nguvu za kisiasa tuu za watu wa Mbeya, ambao wametupa jina tuu na kichukua vitu vya muhimu? Ili nieleweke,,, kuna issues mbili tatu:
1. Hakuna sehemu ya maana iliyokuwa inaitwa Songwe
2. Kila cha maana chenye jina hilo kilibaki...
Kumbuka pamoja na kuwa Japan ina eneo lote linaingia x3 ya nchi yako, lakini in watu x2 (125M) ya Tanzania (67M), pupulation density ya Japan ni watu 332 kwa kila kilometa mraba, hapa kwenu ni 52. Tafakuri. Msomi huko kwenu kijijini mmezaliwa 16, na mmesoma na kukukua vema ,,, mnakuja mjini...
Kama ushawahi poteza tairi, shockup, ball joint, rim, ajali mbaya kutokana na shetani mashimo wa barabarani leta uzoefu wako hapa.
Tupe location ili Serikali kupitia TANROADS ikaweke alama sehemu hatari zote.
Kwani huko mtaani (baada ya graduation) mnatofautiana kwenye kudeliver? Are a better choice in your industry ? Au kichwa kikubwa tuu ? Like is a doctor from Udom worse than one from Muhimbili or UDSM ? May be it is a problem of stereotyping, just like racism is. My message is; it doesn’t matter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.