Ni kweli kabisa ila hayo maaagano ya siri hayo kwanamna moja ama nyingine ndio yanachangia kutuweka kwenye ukoloni mambo leo. Yaaani bado tupo chini yao
Je ni kweli maaana haya ni yale yaliowekwa wazi kwa umma kujua historia ya makubaliano yaliotolewa. Je mwenye upande wa pilo ipo hivyo kweli au kulikua kuna makubaliano zaidi ya hayo maaana hadi leo wewe utakua shahidi Afrika haiwezi kufanya maaamuzi makubwa kama bara bila wajamaaa kuweka baraka...
Ili uchambue hizo habari inabidi kwanza usikilize ushauri wa mwanasheria kwanza,kwa maaana endapo uchambuzi wako utaenda tofauti na mawazo ya wakuu unaweza kuwa hatarini kwa kushawishi umma kupandikiza chuki ama kuhamasisha vurugu
Vipi kama tunavyo dhani sivyo mambo jinsi yalivyo?, mimi sina uhakika na lolote najaribu tu kufikiria.
Tulipata uhuru bila kumwaga damu, kupitia Raisi wetu wa kwanza Mwalimu Nyerere,Je aliwashinda kwa hoja wazungu na kweli wakakubali kumpa nchi na uhuru!? Kwasababu alikua hana hata kitu cha...
Amini na kwambia dunia ni kweli haipo kama sisi tunavyo dhani ila kutaka kujua inaendeshwaje tutabaki ku hisi tu kwa kutumia tathmini ya matukio ila uhakika hutaupata kamwe labda vinginevyo ukajiunge na shirika la CIA marekani. Nyuma ta pazia kuna giza sana na mambo ya hatari na ajabu kubwa
Mimi siwezi kuzungumza lolote katiks hili kwa maana sina evidence au uhakika wa mambo yoyote yale ila ninachoweza kusema ni; kuna dunia tunayoishi sisi nikimaanisha wananchi wa kawaida na dunia wanayoishi viongozi wa nchi mbali mbali hapa duniani ambayo nauhakika hatujui ikoje.
Mimi naanza na zangu hapa
1. All night long ya lionel Richie
2. La isla Bonita ya Madonna
3. Nightshift ya the commodores
4. Joe le taxi ya vanessa paradis
5. Save the best for last ya vanessa Williams
6. Can't help falling in love ya ub40 version
7. So into you ya Tamia
8. Helpless when she...
Kama aliye tunga stori ya tamthilia ya house of cards alipata lonja ya jinsi siasa zinavyoendeshwa basi uhalisia ni wanasiasa wanatumia sana watu kufanya mambo yao kwa maslahi yao,yaaani hawataki kuchafua mikono yao. Labda ni ishie hapo kwaio hata huyo unayemuhisi ni mwandishi wa account hiyo...
Atleast hata kipindi kile walikataza mikusanyiko,kuvaa barakoa,kunawa kila mahali,kwenye madaladala level seat hahaha saivi ndo hawasemi kitu wataanzia wapi wakati walisema hamna corona aiseee na wakapaaaamba kuwa wameweza wanaonaa aibuuuu. Huuu sio muda wa kuona aibu hali ishakua mbaya
Unajua kutangaza sio kusema tu ipo asee wewe ndo mjinga kweli hujui kwamba hatua za muhimu lazima zifanywe na serikali kama vile kupiga marufuku mikusanyiko,madaladala kuweka utaratibu level seat na mambo mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.