Bongo nyoso..ukikosoa mfumo na kuelezea changamoto na jinsi ya kuzitatua wanakuona ni mpinzani wanakubagua
Ukitumia akili yako bila kutumia unafiki na akili ya kushikiwa wanakupunguzia ulaji wanakutoa kwenye mfumo wao wa kidhalimu na kifisadi
CCM inataka wazandiki , wahafidhina wenye itikadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.