Mambo ya wawili (in this case, Joyce na Dj Nelly) ni vigumu kujua kwa uhakika nini kimewakuta hivyo talaka, furaha ya kupata talaka, n.k ni usiku wa giza kwetu.
Ni kweli Joyce anapambana sana na ingekuwa vyema wakina daa/mama wengine wakaiga ukitilia maanani alikuwa na historia ngumu kama...
Nahisi sijakuelewa! Rizwan kumiliki mabilioni ya WATANZANIA ni KITU CHA HATARI! Baba yake kuwa waziri hata kwa miaka 50 kwa mishahara ya serikali inayojulikana haiwezi kumfanya mtoto (hata yeye mwenyewe) kuwa bilionea! Tafadhali fikiria sana next time unapotoa mawazo yako huku!
Muundo wa baraza lake la mawaziri haliridhishi hata kidogo! Ni kupeana ulaji tu! Serikali bado ni kubwa sana!
Vuvuzela hawezi kuachwa, ila inabidi aongezewe ulaji: Mbunge SADC, uwaziri, nk
"Elimu sio muhimu sana kwa watanzania", nafikiri ndio alicho waambia JK washikaji wake.
"Wakielimika watatusumbua sana hawa, si umeona uchaguzi walivyotutoa jasho?"
"By the way yule mwenye SLAA yuko wapi siku hizi?"
Inasikitisha sana kulazimishiwa uongozi na kunyimwa hata haki ya kikatiba ya kuandamana kupinga jambo lililo wazi kama kuibiwa kura (haki nyingine ya kikatiba)!
Mungu awalinde mkitetea nchi yenu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.