nashukuru sana,
pia mimi sina ujuzi sana wakutumia computer ndio maana hata swala dogo kama ilo lilikua limenishinda isito hat iyo processor siijui,
lakini nafurahi kuona sasa taratibu naendelea kujifunza zaidi
habari zenu wakuu,
kwanza natanguliza shukurani kwa msaada ntakaopewa,
computer yangu aina ya desktop (HP), pia ina RAM 1GB, WINDOW7, harddisk GB40,
nikiistall games zinagoma kuplay sijui tatizo ni nini,
naomba msaada kwa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.