wajumbe mi niseme kwa kifupi tu kwanza, vijana tusome ,tuache uvivu na kutegemea urithi coz sio ishu..pili,kama kijana unaweza kuwa na roho nzito kiasi hicho, tunatengeneza kizazi cha aina gani nchi hii? TUSOME ILI TUONDOE UJINGA,VINGINEVYO HUKO NI KUJILAANISHA TU!
wakati tunapodhani tunakwenda na wakati,kumbe maskini ya Mungu wakati ndio unakwenda na sisi...yangu macho nasikia ndio staili ya kutanua soko la filamu za bongo eti wajumbe mpoooooooooo???....
Daaah huyu captain wa timu yetu noumaaaa....amesahau kale kausemi kuwa:you can fool some people sometimes but you cant fool all the people all the time!!!!!!!!!! kura yangu safari hii dili kinoma wajumbe,sitakosea tena kuchagua labda mniangushe nyinyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.