Search results

  1. J

    Inasikitisha sanaaaaa!

    wajumbe mi niseme kwa kifupi tu kwanza, vijana tusome ,tuache uvivu na kutegemea urithi coz sio ishu..pili,kama kijana unaweza kuwa na roho nzito kiasi hicho, tunatengeneza kizazi cha aina gani nchi hii? TUSOME ILI TUONDOE UJINGA,VINGINEVYO HUKO NI KUJILAANISHA TU!
  2. J

    Hizi Beetle zinafanyana nini?

    beetle moja inafanya ukarabati kwa mwenzie.....
  3. J

    HASHEEM Thabeet ampiga mtama TID!

    all of them are known but not Famous..............believe me wajumbe.
  4. J

    Kanumba utanyonya wangapi kwenye movie??

    wakati tunapodhani tunakwenda na wakati,kumbe maskini ya Mungu wakati ndio unakwenda na sisi...yangu macho nasikia ndio staili ya kutanua soko la filamu za bongo eti wajumbe mpoooooooooo???....
  5. J

    Another Joke from Kikwete: Every student to have computer in five years time

    Daaah huyu captain wa timu yetu noumaaaa....amesahau kale kausemi kuwa:you can fool some people sometimes but you cant fool all the people all the time!!!!!!!!!! kura yangu safari hii dili kinoma wajumbe,sitakosea tena kuchagua labda mniangushe nyinyi...
Back
Top Bottom