Haupo sahii hapa. Mwakinyo tayari yupo Middle na wellem yupo super middle. Kwahyo wellem akishuka wanakutana Middle. Uzito wa mwakinyo wa muda mrefu ni superWelter weight
Kwann hukuchukua M2 NVME hata kama ni 512? Maana the way unavyoona generation za ssd zinatofautiana ndo performance inatofautiana pia. Hyo speed unayosema ni kali sana kwa ssd ya sata 2.5 ukiilinganisha na speed ya NVME zimetofautiana Mkuu
Hassan mwakinyo na vijana wengine wamekuwa wakipiga Game zao Ulaya na ktk mataifa mengine zaidi tena maarufu sana Duniani. Sijawahi ona wanapewa vitita vinene kama hvo au hata kutengenezewa tension kubwa kiasi hicho. Tunakwama wap?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.