Wakuu tuliambiwa mwezi uliopita kuwa Bwawa la Nyerere, limeanza kuchangia Umeme katika Gridi ya Taifa. Jana usiku Kuna Shoti Ikatokea Kidatu na kupelekea Umeme kukatika Dsm Yote!
Najiuliza swali Ule umeme tulioambiwa Umeingizwa kutoka bwawa la Nyerere uko wapi? Kama upo Kwanini shoti...
Wewe ni Chizi (Victim) Unampiga mwenzio kazini sababu ya Vitu ambavyo havikusaidii kitu.! Umemzidi nini kimaendeleo uliempiga? utakuta mpo sawa au amekupita!😆 Unawezaje kuthibitisha kuwa huo upumbavu wako Umekupa maendeleo au kitu kikubwa kumshinda uliyempiga! Waafrika kweli ni mitambo.
Alinisaidia sana Mara kadhaa nikienda Ofisini kwake alikuwa anakuwa na members kadhaa wa JF. na alikuwa akiniambia "Dogo unamjua Fulani wa JF? sasa ndo huyu hapa." I wish siku moja ningekukuta nae na akanitambulisha kuwa hapa upo na Kiranga" maana you're my first role model
Angalia kwenye ingredients, utakutana na maneno caffeine na Sugar, Hayo maneno ndo Neno "Enegy" unalosema halipo, wanacheza na akili za wajinga na wanafanikiwa.
Energy drink ina sifa kuu ya kuleta nguvu na uchangamfu haraka kutokana na viungo vyake kama caffeine na sukari. Viungo hivi viwili ndiyo Msingi mkuu wa Kinywaji chochote cha Energy Drink.
Sasa twende kwenye Mo Extra ambayo kimsingi watu wanaiita kuwa ni Soft Drink. Pia katika chapa yake...
una utani sana we dogo, Nimekaa nyumba tofauti, Zenye AC Kuwasha AC moja ya sebuleni kwa siku kuanzia saa moja hadi saa nne usiku inabonda umeme wa 30000 kiulaini kabisa, Hiyo ni AC moja, siku Moja Una utani khaaa!
Na ndo maana Mnaitwa Waafrica, Kuulizwa Kazi yako ni ipi katika chumba cha daktari ni sahihi kwa 100% maana kazi inaathiri maisha ya mtu ila sio kuulizwa Swali hilo Reception.
Acha kuchanganya majukumu ya Mpokeaji wagonjwa Reception na Daktari, Hapo maswali ya "Kazi yako ni ipi" yana mashiko ya moja kwa moja Ukiulizwa na Doctor, Sio Reception.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.