Habari Rafiki,
Umewahi kupanda usafiri wa uma kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine?
Kwa bahati nzuri ukakutana na mtu mkazoeana kweli halafu wakati wa kushuka mkapotezana na hukuweza kupata mawasiliano yake?
Uzi huu ni sehemu ya kumtafuta.
Post kisa chako na JF watatusaidia kuisambaza na...
Hello wakuu za siku, wiki ijayo kwenye siku kuu natamani sana nikatembelee mji wa Bagamoyo. Ni mara yangu ya kwanza hivyo basi mnisaidie nijue gharama zikoje za hotel, beach, vyakula etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.