mkuu unafanyaje hiyo rooting?alaf kuna wale jamaa wanauza cm za kichana mkono maeneo ya town kuna code number wanaingiza alafu memory ya cm inaongeza ivi hakuna mwenye utaalam huo humu ndani.
wakuu kama heading inavyojieleza nahitaji hiyo tablet kama kuna mtu anayo ila iwe katika hali nzuri kidogo.
kwa yoyote mwenye nayo anaweza kuni MP
karibu sana
the tilte of position and institution applied for should be written in the subject of application letter.
je kwa mfano inatakiwa kuandika iv
seecretary,
PSRS alaf
application of office attendant at TBS
au kunatofauti wakuu.tusaidiane
kuna kitu kingine tena wamesema kwenye application letter inatakiwa uonyeshe jila la taasisi.je ile anuani ya mwajiri unaandika ile ya tume ya ajira au ya taasisi inayoitaji wafanyaki
kwa mfano kuna nafasi kama 4 alafu ---- mikoa kama mitatu.je unaruhusu kumark kwenye envolop ni mkoa gani unataka??au una mark tu lile jina la taasisi husika.
msada tafadhati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.